Wale Vijana waliofukuzwa CHADEMA na kujiunga na CCM leo wakiwa wameongozana na Naibu katibu Mkuu wa CCM -Mwigulu katika Wilaya ya MBOZI wamefanya mkutano wa hadhara pale MLOWO ambapo ndiyo eneo alotokea MWAMPAMABA. mkutano ulikuwa na watu wa vijijini ambao walibebwa kwa magari kuja kwenye mkutano ambao ulitangazwa sana na REDIO ILASI ya mbozi kwa siku 5. Hali ilikuwa mbaya kwa MWAMPAMBA pale vijana WA MLOWO wakaanza kuimba wakimwambia MWAMPAMBA awarudishie pesa zao walizomchangia wakati akiwa CDM. ulinzi uliimarishwa sana na baada ya MWIGURU kusoma mazingira akahutubia kwa tahadhari akiwataka wananchi wachangie shule za KATA. Baada ya MKUTANO mwampamba na JULIANA wamekimbia kwenda kulala MBEYA MJINI wakiongozana na MWIGURU ameshindwa hata kweanda kuwasalimia wazazi wake kwa HOFU.
souce MIMI MWENYEWE ENEO LA TUKIO.
souce MIMI MWENYEWE ENEO LA TUKIO.