Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
machozi yananitoka wameweza kuiba kiasi hiki? mungu waadhibu hawa watu kwa kichapo kikali sana hata kabla ya kuapishwa kwao.
AMESHINDA KWA 40000+ ,MTEMA 30000+:sad:
umeona hommie...?.......We PTP ....Kumbuka dua la kuku halimpati mwewe.......tuache kumwachia Mungu afanye kazi ambazo ameshadelegate kwetu......! ametupa nguvu, akili, busara.....we need to do something for change sio tu kumlilia Mungu afanye maajabu....asipofanya?
Avenge the opressed oh God!Please fix this!AMESHINDA KWA 40000+ ,MTEMA 30000+:sad:
umeona hommie...?
.......We PTP ....Kumbuka dua la kuku halimpati mwewe.......tuache kumwachia Mungu afanye kazi ambazo ameshadelegate kwetu......! ametupa nguvu, akili, busara.....we need to do something for change sio tu kumlilia Mungu afanye maajabu....asipofanya?
AMESHINDA KWA 40000+ ,MTEMA 30000+:sad:
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.