Habari zenu wana JF.
Mie naishi Dar Mbezi.ni mfugaji mvuri wa ngombe wa kisasa.
natafuta mteja wa kuumuuzia maziwa fresh kila siku nina uwezo wa kusupply kuanzia Lt 40 kwa siku.
kama utapenda tufanye biashara tafadhali wasiliana na mie kupitia namba hii 0717-706259
Mie naishi Dar Mbezi.ni mfugaji mvuri wa ngombe wa kisasa.
natafuta mteja wa kuumuuzia maziwa fresh kila siku nina uwezo wa kusupply kuanzia Lt 40 kwa siku.
kama utapenda tufanye biashara tafadhali wasiliana na mie kupitia namba hii 0717-706259