MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Baadhi wataniona kama zuzu au mjinga lakini wahusika kama wana akili ufahamu na ubunifu wataitikia wito huu
Mimi sina muda wa kufika Mkuranga Nahitaji niletewe hati ofisini kwangu ili nianze kulipia kodi au siyo ndugu zangu eneo langu lipo wilaya ya mkuranga
Mimi sina muda wa kufika Mkuranga Nahitaji niletewe hati ofisini kwangu ili nianze kulipia kodi au siyo ndugu zangu eneo langu lipo wilaya ya mkuranga