Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,181
Ahhh, hapa kutakuwa na mamluki wajipenyeza CHADEMA, wakigundua tu wewe ni jembe unafukuzwa.kweli kabisa mkuu...siku hizi wameacha hata kuitana jina kamanda
hahaha kweli cdm ni sikio la kufa
Ahhh, hapa kutakuwa na mamluki wajipenyeza CHADEMA, wakigundua tu wewe ni jembe unafukuzwa.kweli kabisa mkuu...siku hizi wameacha hata kuitana jina kamanda
hahaha kweli cdm ni sikio la kufa
huyo mungu wao ni very exceptional. mungu anayeruhusu kupanga na kuratibu mauaji na utekaji wa binadamu wasio na hatia. kwa kifupi lile ni genge la wahuni na saccos yao.
mzee mtei ameshachelewa. chadema imeshasambaratika kabisa.. chadema wamebaki mataahira tu na misukule ya mbowe na slaa.. chama makini cha ACT kinakua kwa kasi sana. watanzania hasa wa vijijini na vijana wanajiunga kwa kasi sana ACT. hakika ACT ni mkombozi wa tanzania
Mkuu chama
Teh teh teh Bavicha wengi uwa mawazo yao Chadema wakichukuwa nchi maisha yao yatakuwa mazuri mtu kama Mohamedi Mtoi ni mwalimu wa shule za kata pale Tanga Mjini lakini muda wote utamkuta Ufipa, na mwisho wa mwezi anakwenda kuchukuwa mshahara kwenye serikali ya CCM ambao kila siku anakesha JF kuitukana, kama ana uchungu kwa nini asiende kufundisha shule ya Dr.Slaa bure.
Utasikia wanakuambia wanataratibu zao za kushughulikia mambo ya katika vikao vya ndani. Mapunguani hawa wanauza elimu yao kwa dhamani ndogo.
Mwenyekiti wa zamani wa chadema ; mzee mtei na mwanzilishi ameonya uongozi wa sasa wa chadema kwa utamaduni mpya wa fukuza fukuza ya wananchama na viongozi unadhoofisha chama.
Viongozi ni wakati muafaka wa mufanyia maamuzi magumu kauli hiyo.
Chanzo - Magazetini leo.
Maccm kwa kutembea na kila herufi ktk kila neno la Mtei kutafuta matumaini..mnatia aibu.Si mara ya kwanza kumnukuu mzee vibaya.
watoto wko???Too late. Baada ya kuona wanahutubia watoto ndio anaamka toka usingizi wa pono
Mtei kwani ana nguruwe...?Nenda mbulu na mbeya nguruwe hadi wanachungwa km mbuzi.Km ndio unawataka..basi usitikise kiuno hovyo hata hapo zenj wapo, na kila mji siku hizi kuna chocho unaweza pata. Kwa upuuzi wako unadhani nguruwe ndio dharau kubwa.hembu kajirekebishe kwanza ndipo uje ongea na binadamu hapa.Kamanda kwani mwenye nguruwe kasemaje hadi wewe nguruwe useme amenukuliwa vibaya!!
mzee mtei ameshachelewa. chadema imeshasambaratika kabisa.. chadema wamebaki mataahira tu na misukule ya mbowe na slaa.. chama makini cha ACT kinakua kwa kasi sana. watanzania hasa wa vijijini na vijana wanajiunga kwa kasi sana ACT. hakika ACT ni mkombozi wa tanzania
akili yako inahitaji uangalizi maalumu kwenye kitengo cha mirembe
mzee mtei ameshachelewa. chadema imeshasambaratika kabisa.. chadema wamebaki mataahira tu na misukule ya mbowe na slaa.. chama makini cha ACT kinakua kwa kasi sana. watanzania hasa wa vijijini na vijana wanajiunga kwa kasi sana ACT. hakika ACT ni mkombozi wa tanzania