habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
Ukiona Mzee anaanza kupoteza kumbukumbu ujuwe anakaribia kufa! Huyu Mzee ameanza kuweweseka maana ati tume Ina Waislamu wengi kuliko wakristo sasa alitaka ZNZ watoke wakristo?Safi sana mzee mtei busara zimeanza kukurudia. Sasa pia umwambie na mkweo( mbowe ) atumia busara za kujiuzuru kwani tumemchoka anakidhoofisha chama. Akiendelea kukang'ania tutamtoa kwa nguvu.
Mzee anazeeka vibaya tena zile hela zetu za BOT tutazirudisha siku ya KIAMA