Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Sasa mlivyokuwa mnalalamika CCM inawatukana kumbe ni Mwigulu na Lusinde yalikuwa mawazo yao binafsi.

Walisema kuwa CCm chama cha matusi kisa lusinde katukana sasa leo tukisema chadema chama cha dini itakuwaje?
 
inashangaza kwa mtu mwenye upeo kama mtei kuwa na mawazo kama hayo- kinachoshangaza ni kwamba dini za hao watu amegundua kupitia majina- hajui kama dini inaweza kuwa isifanane na jina lako- anyway huu ni ubaguzi wa imani- kwanini afike mbali hivyo au kazeeka apelekwe rest home alelewe asubiri kifo maana hoja sio ya msingi hata kidogo- na hao wanobadilisha hoja na kuanza kuhoji source ya info in short they know kwamba ameteza sasa wanatafuta njiaa ya kufunika and discrediting the source becomes their only ally.
 
inashangaza kwa mtu mwenye upeo kama mtei kuwa na mawazo kama hayo- kinachoshangaza ni kwamba dini za hao watu amegundua kupitia majina- hajui kama dini inaweza kuwa isifanane na jina lako- anyway huu ni ubaguzi wa imani- kwanini afike mbali hivyo au kazeeka apelekwe rest home alelewe asubiri kifo maana hoja sio ya msingi hata kidogo- na hao wanobadilisha hoja na kuanza kuhoji source ya info in short they know kwamba ameteza sasa wanatafuta njiaa ya kufunika and discrediting the source becomes their only ally.

aliyeanzisha huu udini ni JK

Mtei kaufunua tu ... mpumzishe JK na sio Mtei
 
Zitto ni muislamu, lazima atetee kwa nguvu zote. Mzee mtei si mnafiki wala msiri. Tukisema tuweke takwimu hapa kwa watu makini wasomi waliobobea katika nyanja mbalimbali hasa katika fani ya sheria, waislamu bado wako nyuma. Leo hii inakuwaje tume inawaislamu wengi kuliko wakristo?. Kwani huko zanzibar wakristo hawapo?
 
Mzee Mtei Umri wako umekwenda na kwa uhakika inatakiwa uombe ushauri kabla kutoa hoja nzito kama hiyo. Ni kweli ulichosema lakini sii jambo muhimu kulizungumzia. Inabidi utulie usije haribu heshima yako.

Katika hili si hoja hata kidogo kwani -- kikubwa ni uwezo wa kupambanua mambo na uzoefu/elimu ya mambo yanayo fanana na hayo.

USHAURI WA BURE KWA MZEE MTEI NI KUWA ASIJIINGIZEE KWENYE MIJADALA ITAKAYOMLETEA AIBU. ZITTO NAWE UWE NA BUSARA ZA KUJIBIZANA NA WAZEE HATA KAMA UKO SAWA NA UNACHOJARIBU KUKISEMA.
 
swali la kujiuliza ni kwa nini mtu uanze kufikiria wajumbe ni wa dini gani kabla ya kujiuliza hawa wajumbe wana ujuzi gani na je ujuzi wao utalisaidia vp taifa katika kipindi iki cha ukusanyaji na uratibuji wa maoni ya katiba? why are we so radical? kwa nini uyu mzee anawaza kidini dini kwanza? kama yeye sio mdini?ZITTO is right
 
Mzee Mtei Umri wako umekwenda na kwa uhakika inatakiwa uombe ushauri kabla kutoa hoja nzito kama hiyo. Ni kweli ulichosema lakini sii jambo muhimu kulizungumzia. Inabidi utulie usije haribu heshima yako.

Katika hili si hoja hata kidogo kwani -- kikubwa ni uwezo wa kupambanua mambo na uzoefu/elimu ya mambo yanayo fanana na hayo.

USHAURI WA BURE KWA MZEE MTEI NI KUWA ASIJIINGIZEE KWENYE MIJADALA ITAKAYOMLETEA AIBU. ZITTO NAWE UWE NA BUSARA ZA KUJIBIZANA NA WAZEE HATA KAMA UKO SAWA NA UNACHOJARIBU KUKISEMA.

Kwenye red hapo!
Ipotee mara ngapi?
 
Zitto ni muislamu, lazima atetee kwa nguvu zote. Mzee mtei si mnafiki wala msiri. Tukisema tuweke takwimu hapa kwa watu makini wasomi waliobobea katika nyanja mbalimbali hasa katika fani ya sheria, waislamu bado wako nyuma. Leo hii inakuwaje tume inawaislamu wengi kuliko wakristo?. Kwani huko zanzibar wakristo hawapo?

Hiyo sensa umeifanya wewe na nani na uka-publish wapi?
 
Kama kweli mzee Mtei katamka hivyo, nina muunga mkono na miguu Zitto kwamba ni kweli kabisa Mtei kaishiwa mawazo kabisa aka mufilisi.
 
ni ushahidi mwengine huo kuwa chadema iliasisiwa kwa malengo ya kidini,kama vile Cuf

Antie HUSNA
nenda kaendelee na shughuli, hebu nipe ushahidi wa CUF kuasisiwa kwa malengo ya kidini! CUF inatuhumiwa na ilivyokuwa CDM, ila kwa hili la mzee wao ndio ushahidi umetimia sasa.
 
Sasa mlivyokuwa mnalalamika CCM inawatukana kumbe ni Mwigulu na Lusinde yalikuwa mawazo yao binafsi.

matusi ya nguoni aliyoporomosha Lusinde kuyalinganisha na mawazo ya huyu mzee Mtei nikumkoseshea heshima.
 
Siamini kama hayo ni maneno ya Zitto. Naomba Zitto athibitishe mwenyewe? kuna watu wanataka kumfitinisha Zitto. haiwezekani zitto kutoa kauli hii.

Kauli ya namna hii inatoka kwa mtu ambaye upeo wa fikra ni mdogo mno?

Naomba Zitto athibitishe
 
ni ushahidi mwengine huo kuwa chadema iliasisiwa kwa malengo ya kidini,kama vile Cuf

CUF inahusikaje wapi wewe? CUF inasimama kwenye HAKI SAWA KWA WOTE; hakuna udini

Umewahi kusikia muasisi wa CUF akisema mambo UDINI kama Muasisi wa Chadema?
 
udini unakera na utalitafuna taifa kwasasa ndio adui yetu mkubwa tusije kuwa kama nigeria
 
Hiyo sensa umeifanya wewe na nani na uka-publish wapi?

nimeangalia matokeo ya form 4 na form 6 shule binafsi na serikali. Kisha nimeangalia kati ya seminary za kiislamu na kikristo zipi zinafaulisha. Nikaja vyuo vikuu hapa nchini nimeona idadi ya waislamu ni ndogo sana ukilinganisha na wenzao wakristo.
 
Kama hali ya udini ndiyo iko hivi kama tunavyoshuhudia hapa JF tutegemee nini huko mtaani? Ningependa tujadili wajumbe wa hii tume based on intellectual capacity and not otherwise.

Mimi ni Mkristu/Roman Catholic na sioni tatizo kwa tume kuwa na waislam wengi.Cha msingi huwa ninaangalia competency kwanza ndipo busara nyingine za uwiano zifuate.Ni jambo la hatari kujadili udini na ukabila katika mazingira yanayoweza kutugawa na kutuondolea utaifa wetu.Uzalendo wetu uko mashakani.Kwa picha hii ninayoiona CIA,MOSSAD,M15 na wengineo wakituchomekea hii dhana ya Udini tutamalizana wenyewe kwa wenyewe.Hatua ambayo Nigeria imefikia ndipo tunakoelekea sasa.Wanasiasa,viongozi wa dini,na watu wenye ushawishi katika jamii tuache kutoa matamshi bila kufikiria athari.tuna maadui ambao tunahitaji umoja wa kitaifa kupambamana nayo kama matabaka na mapengo ya kiuchumi,ombwe la fikra na uongozi,social vices kama ufisadi na ukosefu wa maadili.tunahitaji utaifa kuliko mgawanyiko wa kiimani au kikabila kukabiliana na haya.Mahakama ya kadhi au kujiunga na OIC sio issue,ili mradi Refferundum imependekeza hivyo.Tuache uoga na hoja nyepesi bila kuzingatia athari

We are a people bedevilled by so many challenges which of course, we've barely scratched the surface of. The leadership deficit has aggravated our economic decline and retardation, and threatens not only our social cohesion but our very identity as a people. In times like these, a strong and transformational leadership is what is required to mobilize our abundant human and natural resources for us to realize our full potentials, but this deficit forms the bane of our problems. Paradoxically, while we acknowledge the failure of leadership, and the incapacity or inability of the present crop of leaders to do much to salvage our pathetic situation, we are still waiting on them

Whatever the case, it is our generation which will suffer most because the present crop of leaders have little to lose; we will live with the consequences of their actions while our children's future becomes increasingly uncertain

We are in a terminal decline, the question is are we doing enough to address this? What can we or should we do to reverse this certain reality?
 
nimeangalia matokeo ya form 4 na form 6 shule binafsi na serikali. Kisha nimeangalia kati ya seminary za kiislamu na kikristo zipi zinafaulisha. Nikaja vyuo vikuu hapa nchini nimeona idadi ya waislamu ni ndogo sana ukilinganisha na wenzao wakristo.

Wote wamepewa mitihani kwenye practice ni vilaza sana mtu wangu ndio maana rais kawashtukia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom