kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 404
Wakuuu katika kutafakari jinsi serikali inavyo haha kwa raia kujiandikisha, wasije wakaweka mtego kwa vijana mwishowe wawape ajira wale wataojiandikisha na wale wasiojiandikisha waendelee kusota ili liwe fundisho.
Ewe kijana tafadhali tafakari chukua hatua za kuambiwa changanya na zako
Ajira zitatolewa kigezo cha kwanza uwe umejiandikisha kwenye daftari maana ndio uzalendo.
Ewe kijana tafadhali tafakari chukua hatua za kuambiwa changanya na zako
Ajira zitatolewa kigezo cha kwanza uwe umejiandikisha kwenye daftari maana ndio uzalendo.