Watu wanashangaa Bush kuajiriwa na chuo.hao jamaa waliongoza pia maandamano ya 2008/2009....ule mgomo ulisababishwa chuo kufungwa kama miezi miwili then baada ya hapo Odwang hakuonekana tena...
Ila ninachokumbuka Owawa ndiye alikuwa kinara, Odwang hakuwa muongeaji sana zaidi ya kupaza sauti "Odwaa" pengine alikuwa vizuri kwenye mikakati.
ila cha kusikitisha rev square haipo tena, lile eneo limeota nyasi kabisa!!
We nawe, sio mabibo sokoni au uswahilini kwenye mateja, mabibo hostel! Kijana yule binafsi sitamsahau, ilikuwa ukisimama 'kariakoo' unaskia sauti moja ghafla kutokea juuu hall 2 "Odooooooooooooong....." halafu ma hall yote ya karibu hall 3, 1 wanaitikia kwa hamasa kuu "Odwaaaaaaaaaaaa....."!mh!!Mabibo hii hii ninayoijua?
Hahahaaa, mi sikuwa mtu wa purukushani ila huyu bwana alivyokuwa maarufu nikataka nimuone yukoje...daaadeki km Idd Amin, mweusiii tiii, nikasema hapa kazi ipo! Ila alijua kukinyoosha chuo na serikali. Watu watafanya fujo, watavunja ila mwisho wa siku Mkandala anakuja kuongea Nkurumah kwa upole, heshima, nidhamu na taadhima! Na changes mnaziona!Ha haaaa.....ilikuwa burudani sana wakati wa muganda huyu...mtu anaropoka saa 8 usiku kutokea block D "Odwaaang" halafu mwingine anaitikia block E...ha haa. Kule main campus ilikuwa ni Hall 2 na Hall 5...
Aaaaahhh, Odong alikuwa mtu mwingine aisee! Aliwajaza ujasiri wanafunzi kiasi kwamba mkiamua jambo wooote lenu linakuwa moja! No politics na upuuzi, ukiskia "kunji" ujue hakuna kurudi nyuma! Nakumbuka ffu walikuwa wanawahi kukizingira chuo kila wakiskia kuna kunji lkn watu wanaandamana mbele yao! Na wakirusha mabomu ya machozi, mvua ya mawe inawanyeshea, duh! Hapo hapo wanafunzi wakorofi wanatake advantege ya kunji kulipa visasi kwa ma lecturer wakorofi wakorofi, yalimkuta Karamagi wa bcom, anafundisha huku nje kuna kunji, watu wakavamia, tia mikwaju wasaliti wote mle ndani, Karamagi kuona vile kakusanya vitu vyake na majina ya 'waliohudhuria pindi', waja wakamuona wakamkimbilia, 'sir tupe hiyo 'attendence' uende kwa amani...' jamaa kakataa, kilichompata hapo naona hajasahau mpaka leo, walimfinya, wakamtia makofi mwisho wakamchania kila kitu! Ila na yeye jasiri, alimkamata mmoja akamwambia mi 'ntazaa na wewe tu' ...... hahahaaaa!Aisee naomba nipate matukio mengine ya huyu ODWAAAA!! hahahahah sim jui ila nime furahi kusikia historia yake... UDSM walikua na ujasiri.
Damn! Haha noma sana.Aaaaahhh, Odong alikuwa mtu mwingine aisee! Aliwajaza ujasiri wanafunzi kiasi kwamba mkiamua jambo wooote lenu linakuwa moja! No politics na upuuzi, ukiskia "kunji" ujue hakuna kurudi nyuma! Nakumbuka ffu walikuwa wanawahi kukizingira chuo kila wakiskia kuna kunji lkn watu wanaandamana mbele yao! Na wakirusha mabomu ya machozi, mvua ya mawe inawanyeshea, duh! Hapo hapo wanafunzi wakorofi wanatake advantege ya kunji kulipa visasi kwa ma lecturer wakorofi wakorofi, yalimkuta Karamagi wa bcom, anafundisha huku nje kuna kunji, watu wakavamia, tia mikwaju wasaliti wote mle ndani, Karamagi kuona vile kakusanya vitu vyake na majina ya 'waliohudhuria pindi', waja wakamuona wakamkimbilia, 'sir tupe hiyo 'attendence' uende kwa amani...' jamaa kakataa, kilichompata hapo naona hajasahau mpaka leo, walimfinya, wakamtia makofi mwisho wakamchania kila kitu! Ila na yeye jasiri, alimkamata mmoja akamwambia mi 'ntazaa na wewe tu' ...... hahahaaaa!
Hivi kwa sasa hivi au tunakoelekea tutawapata tena wanafunzi kama hawa kweli?Aaaaahhh, Odong alikuwa mtu mwingine aisee! Aliwajaza ujasiri wanafunzi kiasi kwamba mkiamua jambo wooote lenu linakuwa moja! No politics na upuuzi, ukiskia "kunji" ujue hakuna kurudi nyuma! Nakumbuka ffu walikuwa wanawahi kukizingira chuo kila wakiskia kuna kunji lkn watu wanaandamana mbele yao! Na wakirusha mabomu ya machozi, mvua ya mawe inawanyeshea, duh! Hapo hapo wanafunzi wakorofi wanatake advantege ya kunji kulipa visasi kwa ma lecturer wakorofi wakorofi, yalimkuta Karamagi wa bcom, anafundisha huku nje kuna kunji, watu wakavamia, tia mikwaju wasaliti wote mle ndani, Karamagi kuona vile kakusanya vitu vyake na majina ya 'waliohudhuria pindi', waja wakamuona wakamkimbilia, 'sir tupe hiyo 'attendence' uende kwa amani...' jamaa kakataa, kilichompata hapo naona hajasahau mpaka leo, walimfinya, wakamtia makofi mwisho wakamchania kila kitu! Ila na yeye jasiri, alimkamata mmoja akamwambia mi 'ntazaa na wewe tu' ...... hahahaaaa!
alikuwa ofisi ya CAG ,ila aliacha 2015 akaenda kugombea ubunge kwao RoryaOwawa namkubali sana alinifundisha as temporary teacher o'level somo la civics jamaa yuko vzr sana cjui jamaa saiv yuko wap
Nyani Ngabu na ujuaji wake wote kategewa demu hapa JF kamwaga data zake zote. Mfuatilie nyuzi zake siku hizi kama kawekewa gun kisogoni
Wakati huo kutengenrza coup ilikuwa jambo dogo sana, kwa sababu wote waliokuwa Chuoni walikuwa wanajielewwa. Majority walikuwa wametoka JKT, hivyo hakuna ambacho walikuwa wanakiogopa. Siku hizi, Vyuo vina Makunguru kibao.Tatizo 2004-2009 ulikuwa bado unachunga kondoo wa babu ambao umebeba ujinga wao
acha uongo miaka hiyo JKT haikuwepoWakati huo kutengenrza coup ilikuwa jambo dogo sana, kwa sababu wote waliokuwa Chuoni walikuwa wanajielewwa. Majority walikuwa wametoka JKT, hivyo hakuna ambacho walikuwa wanakiogopa. Siku hizi, Vyuo vina Makunguru kibao.
Hata mimi nimekumbuka nyakati hizoSitaki kukumbuka Odwang odwar walimwekea kadi ya ccm kwenye begi nasikia yuko UK hivi sasa.