Sidhani kama niko sahihi, ila ndo ninachokiamini tatizo sio CCM wala Kikwete, sijui kwa nini watanzania hatujui hili tatizo. Ni sisi wenyewe watanzania kukosa uzalendo na nchi yetu kwa tabia zetu hata akija Barrack Obama ni kazi bure hata tuletewe malaika watukufu kutoka kwa Mungu holaaaa!!!
Je wanaouza ARVs feki ni akina nani, tembo wanateketea maporini, nenda mahakamani kunavonuka rushwa nenda vyuoni rushwa za ngono, watazame walimu wanavohaha kufaulisha watoto wasiojua kusoma na kuandika. Watu tai kubwa maofisini lakini hakuna kinachofanyika, watanzania leo hawapigi kura hadi wapewe kitu kidogo.
kwa njia yoyote sisi kama watanzania tujue nchi ni yetu, hata nchi zilizo vurugika ulimwenguni haikuwa abruptly, but very slowly kama Tanzania.We need a person ataeingia madarakani kwa njia tofauti na hizi tulizozizoea, huu u-CHADEMA, na u-CCM kwa mtazamo wangu si lolote si chochote.
Ni mtazamo jamani,tujadili.
Je wanaouza ARVs feki ni akina nani, tembo wanateketea maporini, nenda mahakamani kunavonuka rushwa nenda vyuoni rushwa za ngono, watazame walimu wanavohaha kufaulisha watoto wasiojua kusoma na kuandika. Watu tai kubwa maofisini lakini hakuna kinachofanyika, watanzania leo hawapigi kura hadi wapewe kitu kidogo.
kwa njia yoyote sisi kama watanzania tujue nchi ni yetu, hata nchi zilizo vurugika ulimwenguni haikuwa abruptly, but very slowly kama Tanzania.We need a person ataeingia madarakani kwa njia tofauti na hizi tulizozizoea, huu u-CHADEMA, na u-CCM kwa mtazamo wangu si lolote si chochote.
Ni mtazamo jamani,tujadili.