Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli

Yaani nawashangaa wapinzani kwa tafsiri yao ya maendeleo kuwa ni wao kuwa madarakani! Du!

Kama viongozi wa upinzani wameshindwa kuonesha umma wa wapiga kura matumizi mazuri ya ruzuku, demokrasia ndani ya vyama vyao, na udhibiti wa lugha wanayotumia kufikisha ujumbe wao, hakika bado ni wanasiasa uchwara.

Sijui hata unaongea nini boss, maendeleo ni jambo tofauti na madaraka, ila ili uweze kuleta maendeleo ya nchi inabidi uwe madarakani.

Sijui unaongelea kura zipi, maana huwa tunaona wapinzani wakipata kura tena nyingi tu, labda ungesema huwa wanapata kura 0.
 
Uongozi wa nchi hauna majaribio. Hata vile, kwa maneno na matendo ya viongozi wa upinzani, ni dhahiri hawajawa tayari kuongoza nchi. Japo wanaongoza katika baadhi ya Halmashauri na Majimbo ya uchaguzi, hawajaonesha utofauti wa mabadiliko, zaidi ya hali kuendelea kuwa mbaya.
Kama jiwe Ana IQ mdogo anajaribu kuongoza nchi kwanini TUNDU LISSU ashindwe na Ana IQ kubwa kushinda wabunge wote wa CCM kwa pamoja?
 
Back
Top Bottom