Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
Nimesoma kwa makini hoja za bwana Mallya mwenye kujinasibu kuwa yeye ni kada wa ccm na sio chadema kama navyonasibishwa. Ukisoma maelezo yake na ukibahatika kutembelea facebook page yake utagundua kuwa bwana huyu ni mwanachama wa chama gani hasa kwa sie ambao tu waenyeji hapa JF wala hutapata shida kwani wenyewe si tunajuana?Nani asiejua Malaria Sugu na Ritz wao ni CCM kindakindaki?
Ukiwauliza na wao watakumbia kwani hujui kuwa fulani na fulani ni cdm damu na wapo hata radhi kumwaga damu ikibidi hata iwe ya mkuu wa wilaya! Nimesoma yale maelezo nimegundua ni yale yale ya kila siku humu jf nimegundua jamaa anatumia lugha chafu zisizofaa kwa kuishawishi jamii! Ni kweli kama nchi tuna matatizo hivi ninavyo andika hii post sina umeme tangu saa kumi na mbili jioni jana ulirudi saa sita sijui leo utarudi au laa!
Hakuna anaeishi kwa raha kwani umeme ni kila kitu kwa hapa mjini asikwambie mtu! We chunguza siku kama mtaani kwenu hakuna umeme toka nje angalia nyumba ya mjumbe wa mtaa wa ccm wa nyumba kumi umeme unawaka? Sasa unahitaji maguvu, matusi na kejeli kumlainisha mjumbe aone kuwa nchi ipo gizani hata baada ya miaka 50 ya uhuru? Lah unahitaji facts na maneno za busara.
Tuchukulie mfano mmoja Malcom X na Martin Luther King walitumia maneno kama ya meku wangu Mallya? Anaejibasibu yeye ni UVCCM anaonyesha ana chuki binafsi na JK pamoja na familia yake kwa matamshi yake kama itakuwa ni kada wa CCM atakuwa kanyimwa ulaji vinginevyo nitaamini ni chadema na ni move kutoka hapa jf yaani sisi pia tuna mkono! Sijui kama tunatumiwa au pengine tunajua lakini all in all tuwe makini tujue tunatumiwa kwa maslahi ya nani?yetu sote then fine lakini maslahi ya watu wacheche hell NO.
Namalizia kwa kusema yale ya bwana Mallya kule facebook na kukopiwa hapa jf ni mwendelezo wa yale tunayoyashuhudia kila siku hapa jf ila inabidi kujipanga zaidi ili kuweza kuwashawishi na watu walio wastaarabu kuweza kuunga mkono harakati za ukombozi.
Ukiwauliza na wao watakumbia kwani hujui kuwa fulani na fulani ni cdm damu na wapo hata radhi kumwaga damu ikibidi hata iwe ya mkuu wa wilaya! Nimesoma yale maelezo nimegundua ni yale yale ya kila siku humu jf nimegundua jamaa anatumia lugha chafu zisizofaa kwa kuishawishi jamii! Ni kweli kama nchi tuna matatizo hivi ninavyo andika hii post sina umeme tangu saa kumi na mbili jioni jana ulirudi saa sita sijui leo utarudi au laa!
Hakuna anaeishi kwa raha kwani umeme ni kila kitu kwa hapa mjini asikwambie mtu! We chunguza siku kama mtaani kwenu hakuna umeme toka nje angalia nyumba ya mjumbe wa mtaa wa ccm wa nyumba kumi umeme unawaka? Sasa unahitaji maguvu, matusi na kejeli kumlainisha mjumbe aone kuwa nchi ipo gizani hata baada ya miaka 50 ya uhuru? Lah unahitaji facts na maneno za busara.
Tuchukulie mfano mmoja Malcom X na Martin Luther King walitumia maneno kama ya meku wangu Mallya? Anaejibasibu yeye ni UVCCM anaonyesha ana chuki binafsi na JK pamoja na familia yake kwa matamshi yake kama itakuwa ni kada wa CCM atakuwa kanyimwa ulaji vinginevyo nitaamini ni chadema na ni move kutoka hapa jf yaani sisi pia tuna mkono! Sijui kama tunatumiwa au pengine tunajua lakini all in all tuwe makini tujue tunatumiwa kwa maslahi ya nani?yetu sote then fine lakini maslahi ya watu wacheche hell NO.
Namalizia kwa kusema yale ya bwana Mallya kule facebook na kukopiwa hapa jf ni mwendelezo wa yale tunayoyashuhudia kila siku hapa jf ila inabidi kujipanga zaidi ili kuweza kuwashawishi na watu walio wastaarabu kuweza kuunga mkono harakati za ukombozi.