TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika taifa letu tutegemee CCM itageuka kuwa CHADEMA kwa kuwa watetezi wa wanyonge kama walivyofanya CHADEMA miaka miwili au mitatu nyuma kisha CHADEMA itakuwa CCM kwa kukataa kutekeleza mambo ambayo ni zahiri ni tunu kwa taifa hili.
Pia tutegemee kubadilishana wanachama wakongwe na wakubwa ndani ya vyama hivi viwili. Kuna watu, hasa wenye kashfa mbali mbali za ufisadi ndani ya nchi, watahama kutoka ccm na kuhamia CHADEMA. Pia wapo wa CHADEMA wenye uchungu wa dhati na taifa hili watahamia ccm kwenda kuongeza nguvu katika vita dhidi ya ufisadi, ambayo ndiyo hoja ya CHADEMA halisi.
Ni suala la muda tu, usikimbilie kusema hili haliwezekani.
Nawasilisha.
Pia tutegemee kubadilishana wanachama wakongwe na wakubwa ndani ya vyama hivi viwili. Kuna watu, hasa wenye kashfa mbali mbali za ufisadi ndani ya nchi, watahama kutoka ccm na kuhamia CHADEMA. Pia wapo wa CHADEMA wenye uchungu wa dhati na taifa hili watahamia ccm kwenda kuongeza nguvu katika vita dhidi ya ufisadi, ambayo ndiyo hoja ya CHADEMA halisi.
Ni suala la muda tu, usikimbilie kusema hili haliwezekani.
Nawasilisha.