Mtazamo wangu: CCM itakuwa CHADEMA na CHADEMA itakuwa CCM ni suala la muda tu.

Si kusubiri muda tena....2015 ndio iliyobadili upepo wote ...pengine wengi bado hamjajua nini kinatokea nchi hii ...mtaelewa tu ...wengine hatukupenda kumpigia kura JPM lakini tulilazimika kuokoa taifa kwanza baada ya wenzetu kuamua kuwa vipofu ....sasa Taifa lipo salama pamoja na changamoto zake ....
Nilimskiliza mh akizindua safari yake ya matumaini pale Amri Abeid eti walikubaliana na kikwete kwamba 2015 angeachiwa yeye, alidhani nchi nayo ni richmond kwamba waachiane tu.

Pumbafu kabisa hawa jamaa.
 
Ndiyo sababu CCM imeamua kuwanunua Madiwani na wabunge wa Chadema?
Si ndio maana mtoa mada amesema tutegemee chadema kuwa ccm na ccm kuwa chadema,,?

Maana haya mambo ya kununuliwa tulikuwa tunayasikia huko ccm tu! Lkn sasa tunayasikia huku kwetu chadema.
 
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika taifa letu tutegemee ccm itageuka kuwa chadema kwa kuwa watetezi wa wanyonge kama walivyofanya chadema miaka miwili au mitatu nyuma kisha chadema itakuwa ccm kwa kukataa kutekeleza mambo ambayo ni zahiri ni tunu kwa taifa hili.
Pia tutegemee kubadilishana wanachama wakongwe na wakubwa ndani ya vyama hivi viwili. Kuna watu, hasa wenye kashfa mbali mbali za ufisadi ndani ya nchi, watahama kutoka ccm na kuhamia Chadema. Pia wapo wa chadema wenye uchungu wa dhati na taifa hili watahamia ccm kwenda kuongeza nguvu katika vita dhidi ya ufisadi, ambayo ndiyo hoja ya Chadema halisi.
Ni suala la muda tu, usikimbilie kusema hili haliwezekani.
Nawasilisha.
Mmmmmh hapana aisee,sidhani kama wabunge wa ccm wanaweza kuja kupata akili!Hivi mfano Lusinde,unategemea aje kuwa kama labda Lema???Hapana aisee,hiyo haiwezekani
 
Tabu ya nchi kama hii ni kuwa watu wanaojiunga hasa na chama tawala hawafanyi hivyo kwa moyo wa dhati bali the motive waga ni maslahi tu.

Chama hicho kikiondoka madarakani tu, hawabaki tena huko ila wana-cross floor kuja chama kipya kilichoingia madarakani. Wao hawaongozwi na itikadi, ila tumbo.

Hivyo hawa, sio kweli eti wanaipenda ccm ila wanatumikia kafiri wapate mradi wao. Ni opportunists tu.
 
  • Thanks
Reactions: Ftc
Hata mkulu sera anayotumia sahivi kuendesha mambo yake ni ya cdm. Alishaona sera ya ccm kuna baadhi haitekelezeki, na pia alipojaribisha za cdm pia kuna baadhi haitekelezeki au ikitekelezwa inakuwa mzigo mkubwa kwa taifa, badala yake akaona abaki na zile swags majukwaani za cdm na kuchanganya na za kwake
 
Nilimskiliza mh akizindua safari yake ya matumaini pale Amri Abeid eti walikubaliana na kikwete kwamba 2015 angeachiwa yeye, alidhani nchi nayo ni richmond kwamba waachiane tu.

Pumbafu kabisa hawa jamaa.
Alafu wanafikiri life goes on simple like that ....hili litawatafuna hadi watubu ...Gia za angani zitakumbukwa hadi na vitukuu ....
 
...Chama hicho kikiondoka madarakani tu, hawabaki tena huko ila wana-cross floor kuja chama kipya kilichoingia madarakani. Wao hawaongozwi na itikadi, ila tumbo...
lisu, selasini, komu na wengine wengi walikuwa nccr iliyokuwa inavuma chini ya mrema. walipoona nccr si dili tena wakaangalia upepo uko wapi wakagundua dili lilikuwa chadema ya kina slaa na wengineo, wakajitosa huko.

asikudanganye mtu, wote hawa ni matumbo tu. wangekuwa na itikadi wangebaki hukohuko wakisaidiana na mbatia kuijenga nccr yao.
 
Muda utazungumza.

Kupambana na ccm kwa sasa kunahitaji viongozi creative sana.
Viongozi waliopo CDM wasiotaka kukosolewa, wasiokuwa na mbinu za ziada za kuwa makini na upuuzi wanaoufanya ccm, hatuwezi kuipa shida ccm.

Siyo kila anayetoka ccm ni lazima tumpokee na kumshangilia.
Chama lazima kiwe makini na watu wanaotoka ccm
Simaanishi tusiwapokee, hapana....ila tuwapokee kwa taadhari sana.
Tusiwape uhuru wakufaham mbinu za ndani za chama ni hatari kufanya hivyo.
Mfano, mtu kama wema sepetu anapokelewa na kuwa karibu sana mw/kiti nila kufaham why ametoka huko?

Nakumbuka dr Slaa alimkataa mtu anaitwa chizi kutoka ccm.
Aliambiwa huyo ndio anajua mbinu za kuiba kura, lakini dr hakutaka yule mtu aaminiwe.
Huyu ndiye kiongozi tunayemtaka kwa sasa ili kupambana na ccm.

Kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika taifa letu tutegemee ccm itageuka kuwa chadema kwa kuwa watetezi wa wanyonge kama walivyofanya chadema miaka miwili au mitatu nyuma kisha chadema itakuwa ccm kwa kukataa kutekeleza mambo ambayo ni zahiri ni tunu kwa taifa hili.
Pia tutegemee kubadilishana wanachama wakongwe na wakubwa ndani ya vyama hivi viwili. Kuna watu, hasa wenye kashfa mbali mbali za ufisadi ndani ya nchi, watahama kutoka ccm na kuhamia Chadema. Pia wapo wa chadema wenye uchungu wa dhati na taifa hili watahamia ccm kwenda kuongeza nguvu katika vita dhidi ya ufisadi, ambayo ndiyo hoja ya Chadema halisi.
Ni suala la muda tu, usikimbilie kusema hili haliwezekani.
Nawasilisha.
 
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika taifa letu tutegemee ccm itageuka kuwa chadema kwa kuwa watetezi wa wanyonge kama walivyofanya chadema miaka miwili au mitatu nyuma kisha chadema itakuwa ccm kwa kukataa kutekeleza mambo ambayo ni zahiri ni tunu kwa taifa hili.
Pia tutegemee kubadilishana wanachama wakongwe na wakubwa ndani ya vyama hivi viwili. Kuna watu, hasa wenye kashfa mbali mbali za ufisadi ndani ya nchi, watahama kutoka ccm na kuhamia Chadema. Pia wapo wa chadema wenye uchungu wa dhati na taifa hili watahamia ccm kwenda kuongeza nguvu katika vita dhidi ya ufisadi, ambayo ndiyo hoja ya Chadema halisi.
Ni suala la muda tu, usikimbilie kusema hili haliwezekani.
Nawasilisha.
Chadema ipi? Labda ya Congo kama u namaanisha hii Sacos ya hapa bongo utakufa na matumaini
 
lisu, selasini, komu na wengine wengi walikuwa nccr iliyokuwa inavuma chini ya mrema. walipoona nccr si dili tena wakaangalia upepo uko wapi wakagundua dili lilikuwa chadema ya kina slaa na wengineo, wakajitosa huko.

asikudanganye mtu, wote hawa ni matumbo tu. wangekuwa na itikadi wangebaki hukohuko wakisaidiana na mbatia kuijenga nccr yao.
Hao wamedandia treni ...hawajui NCCR iliyokufa akina Lissu walikuwa kule ....hawataki ushauri wameamua kushupaza shingo ...ila mtu ambaye amefatilia upinzani kwa muda atakuwa anaona wapi tunaenda ....bila MABADILIKO ....Chadema inaenda kuhitimisha mapito ya NCCR ....pengine itatupa akili kama hatukujifunza kwa NCCR ....
 
Muda utazungumza.

Kupambana na ccm kwa sasa kunahitaji viongozi creative sana.
Viongozi waliopo CDM wasiotaka kukosolewa, wasiokuwa na mbinu za ziada za kuwa makini na upuuzi wanaoufanya ccm, hatuwezi kuipa shida ccm.

Siyo kila anayetoka ccm ni lazima tumpokee na kumshangilia.
Chama lazima kiwe makini na watu wanaotoka ccm
Simaanishi tusiwapokee, hapana....ila tuwapokee kwa taadhari sana.
Tusiwape uhuru wakufaham mbinu za ndani za chama ni hatari kufanya hivyo.
Mfano, mtu kama wema sepetu anapokelewa na kuwa karibu sana mw/kiti nila kufaham why ametoka huko?

Nakumbuka dr Slaa alimkataa mtu anaitwa chizi kutoka ccm.
Aliambiwa huyo ndio anajua mbinu za kuiba kura, lakini dr hakutaka yule mtu aaminiwe.
Huyu ndiye kiongozi tunayemtaka kwa sasa ili kupambana na ccm.
Ukiandika hivi unaonekana msaliti ....alafu hao hao wanataka kuitoa CCM madarakani ....very sad propagandist wa mitandaoni ndio pumzi pekee inayovumilia ujinga huko opposition ....
 
Mi chadema niliwadharau baada ya kugeuza msimamo wao waliokuwa wakiusimamia miaka nenda rudi ndani ya wiki moja
 
Infact sisi wengine ambao tunata ccm kiwe chama cha upinzani tunakerwa sana na CDM hii ya sasa
Huyu katibu walimchagua kwa vigezo gani?
Hana ata mbinu mbadala.
CDM wa mitandaoni kazi ya kuishambulia ACT wazalendo tu.
Wanaubeba mgongoni mgogoro wa CUF kama wakwao.
Hawana dira
Where are you dr Slaa.?

Ukiandika hivi unaonekana msaliti ....alafu hao hao wanataka kuitoa CCM madarakani ....very sad propagandist wa mitandaoni ndio pumzi pekee inayovumilia ujinga huko opposition ....
 
Mkuu, si kupokelewa tu, wema kakatiwa pesa ya usajili kabla hamjampokea. watu wanafanya biashara.
Wengine wanafikiri Wema alienda bure tu ....ndio Chadema imefikia hapo ....mbaya zaidi HAKUNA wa kuikemea ....very sad ...
 
Back
Top Bottom