Mtazamo wangu: CAG kuiachia report ya ukaguzi na udhibithi ya 2017/2018 hadharani kila mtu kuiona,na kumkabidhi Rais kwa mfumo wa cd

mwakajingatky

JF-Expert Member
May 30, 2018
555
909
Poleni na shughuli wakuu,

Niende kwenye kilichosukuma kuandika uzi huu..

Bila shaka kila mmoja amejioneanea madudu yanayoendelea kwenye nchi yetu pendwa..(kwa mujibu wa ripoti ya CAG),

Nije kwenye point..

Prof Assad baada ya kukabidhi ripoti yake kwa raisi (ambapo ikulu haikutangaza kuipokea kama tulivozoea kwenye mambo mengine,na isingekua kwa mitandao ya kijamii tusingejua), katika moja ya mahojiano na waandishi wa habari CAG Alizungumza akisema kua ,alimkabidhi raisi ripoti ikiwa kwenye mfumo wa cd kuepuka au kupunguza gharama kubwa za uchapishaji

Pia tumejionea week hii ripoti yake ikicheleweshwa cheleweshwa kupelekwa bungeni,bila ya sababu za msingi

Na mwishoe akaianika CAG ripoti hiyo hadharani kila mtu aisome,akiwa dodoma..

HOJA NA MITAZAMO YANGU

1.tuongee tuu ukweli kwa ripoti
ilivyo,kamwe isingefikishwa bungeni,na ata ingefikishwa ingekua iliochujwa


2.kuikabidhi kwa raisi kwa mfumo wa
cd tofauti na miaka mingine kwa
sababu ya kuofia gharama za
uchapishaji,kwa mtazamo wangu CAG
alikua anajihami ama anaepusha ,au
anapunguza uwezekano wa kuchujwa
kwa ripoti yake na muhimili lengwa,

3.kuiweka hadharani na kila mwananchi
kuisoma kuna mawili,moja CAG
kutetea hoja yake ya udhaifu wa
bunge,..MBILI na endapo raisi
angeagiza ripoti ya CAG ipelekwe
bungeni na kuwa sio halisi (baadhi ya.
sehemu zenye uozo kutolewa) ,hii
ingekinzana na kila mmoja alioisoma
,kwahiyo ripoti halisi ingefika bungeni


Ni hayo tuu wakuu

NB
Tusameheane kwa lugha yangu isiyo ya kisomi,ni sababu ya elimu yangu ya darasa la saba (ambayo kwa namna nyingine najivunia😊😊)

🙏🙏🙏
 
Bilioni 16 uniform za polisi
Umeme wa REA %34 nchi nzima huku ikiwa imetumia mabilioni ya fedha
Duuhh,!!!
Mtumbuaji achana na hao wa picha ya Twiga wa milion Mia3
Watumbue na hawa hapo ndio nitaamini kuwa wahenga walikosea kale ka usemi kuwa KINYOZI HAJINYOI‍♂️
 
Bilioni 16 uniform za polisi
Umeme wa REA %34 nchi nzima huku ikiwa imetumia mabilioni ya fedha
Duuhh,!!!
Mtumbuaji achana na hao wa picha ya Twiga wa milion Mia3
Watumbue na hawa hapo ndio nitaamini kuwa wahenga walikosea kale ka usemi kuwa KINYOZI HAJINYOI‍♂️

Kabisa mkuu...
 
Bilioni 16 uniform za polisi
Umeme wa REA %34 nchi nzima huku ikiwa imetumia mabilioni ya fedha
Duuhh,!!!
Mtumbuaji achana na hao wa picha ya Twiga wa milion Mia3
Watumbue na hawa hapo ndio nitaamini kuwa wahenga walikosea kale ka usemi kuwa KINYOZI HAJINYOI‍♂
Unapozungumzia hizi bilioni 16 ongeza na muda zilizopikwa, ni ndani ya masaa 48 tu. Hawa makamanda ukiwapa nafasi tu wanakuchakaza bila huruma.
 
Una uhakika gani kama hata hii iliyotolewa leo haijachujwa? Maana mi nahisi kuna mchezo umechezwa. Madudu yalikuwa mengi sana. CAG akapeleka CD ili iwe rahisi kufanya editing. Bunge likatumika kupoteza muda ili report ieditiwe. Baada ya apo akapewa tena CAG aitangaze mwenyewe bungeni. Kumbuka bunge lilimkataa na bado likamruhusu atangaze riport bungeni ambayo walikataa. Nani alimruhusu kuita waandishi wa habari na nahali pa kutangazia hii report bungeni?

Na vitu vilivyonyofolewa.
1. Pesa za korosho
2. 1.5 trillion zilizopigwa na pamoja na nyingne zilizoebdelea kupotea.
3. Gharama za matibabu nje.
4. Matumizi ya fedha ikulu.
5. Matumizi ya fedha nje ya budget iliyopitishwa na bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika gani kama hata hii iliyotolewa leo haijachujwa? Maana mi nahisi kuna mchezo umechezwa. Madudu yalikuwa mengi sana. CAG akapeleka CD ili iwe rahisi kufanya editing. Bunge likatumika kupoteza muda ili report ieditiwe. Baada ya apo akapewa tena CAG aitangaze mwenyewe bungeni. Kumbuka bunge lilimkataa na bado likamruhusu atangaze riport bungeni ambayo walikataa. Nani alimruhusu kuita waandishi wa habari na nahali pa kutangazia hii report bungeni?
Na vitu vilivyonyofolewa.
1. Pesa za korosho
2. 1.5 trillion zilizopigwa na pamoja na nyingne zilizoebdelea kupotea.
3. Gharama za matibabu nje.
4. Matumizi ya fedha ikulu.
5. Matumizi ya fedha nje ya budget iliyopitishwa na bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakutangazia bungeni bwana Mdogo alitangazia kwenye ofisi ya CAG iliyopo dodoma
 
Una uhakika gani kama hata hii iliyotolewa leo haijachujwa? Maana mi nahisi kuna mchezo umechezwa. Madudu yalikuwa mengi sana. CAG akapeleka CD ili iwe rahisi kufanya editing. Bunge likatumika kupoteza muda ili report ieditiwe. Baada ya apo akapewa tena CAG aitangaze mwenyewe bungeni. Kumbuka bunge lilimkataa na bado likamruhusu atangaze riport bungeni ambayo walikataa. Nani alimruhusu kuita waandishi wa habari na nahali pa kutangazia hii report bungeni?



MBONA TUMEAMBIWA SHUGHULI YOTE IMEFANYIWA NDANI YA OFISI ZA CAG MWENYEWE ZILIZOPO DODOMA, IYO YA BUNGENI WE UMETOA WAPI MWENZETU???
 
Una uhakika gani kama hata hii iliyotolewa leo haijachujwa? Maana mi nahisi kuna mchezo umechezwa. Madudu yalikuwa mengi sana. CAG akapeleka CD ili iwe rahisi kufanya editing. Bunge likatumika kupoteza muda ili report ieditiwe. Baada ya apo akapewa tena CAG aitangaze mwenyewe bungeni. Kumbuka bunge lilimkataa na bado likamruhusu atangaze riport bungeni ambayo walikataa. Nani alimruhusu kuita waandishi wa habari na nahali pa kutangazia hii report bungeni?

Na vitu vilivyonyofolewa.
1. Pesa za korosho
2. 1.5 trillion zilizopigwa na pamoja na nyingne zilizoebdelea kupotea.
3. Gharama za matibabu nje.
4. Matumizi ya fedha ikulu.
5. Matumizi ya fedha nje ya budget iliyopitishwa na bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaakiri nyingi mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom