Mtazamo: Wanaume wapole wanaongoza kwa kusalitiwa na wapenzi wao

With bad boys sometime s you will be wondering where the he'll is he and his phone us switched off. By the time he comes he may come with a bunch of flowers, your favorite perfume or a ticket for your dreaming concert. You will never get tired of being around bad boys.
You can't manipulate what you have written from previous comment,am seconds away from revealing your true colour!:)......believe me!
 
Tofautisha kati ya povu na fact...
dhambi ya usaliti mnasingizia upole
rudi kwa Mungu wako akusamehe
dhamb ya usaliti ambayo mshahara wake ni mauti ...yuda alimsaliti Yesu akajinyonga badae.
Unazungumza maneno hayo ukiwa kama nani hasa...
 
Watu hapa mnachanga upole na ukimya.
Yes kuna wanaume wapole... lakini kuna wanaume wakimya...
Hawa wakimya huwa hawaongei saaana.. sio wazee wa show off. Lakin akiwa na babe... mbona ni shida... wanapiga kazi mbaya.. wanajua majukumu yao na wana msimamo sana.
Alafu kuna hili group la wapole... wapole mpaka mazezeta.. kila kitu wakiambiwa ni yes... hawa kusalitiwa lazima. Mwanamke anataka mtu mwenye msimamo.
 
Usaliti ni tabia na tamaa za mtu... Haijalishi upole au ukorofi...

Mwanaume unaweza kuwa mkorofi na bado mwanamke wako akakusaliti...


Thanks God mahondaw wangu ni mwanamke mwenye msimamo sana... Sina shaka nae hata mara moja... Love her sana..


Cc: mahondaw
Usaliti ni tabia na tamaa za mtu... Haijalishi upole au ukorofi...

Mwanaume unaweza kuwa mkorofi na bado mwanamke wako akakusaliti...


Thanks God mahondaw wangu ni mwanamke mwenye msimamo sana... Sina shaka nae hata mara moja... Love her sana..


Cc: mahondaw

Hahaha
Mpolee
Mwelewa
Mtaratibu
Makini sana ila hatakagi ujinga ujinga lol

I love you so much Smart911 wamie
Kisses
 
Nakutaarifu pia Wanaume wapole wanavutia wanawake wengi. Hali hii hupelekea wanaume wapole kuwa na wanawake wengi hata kama ameoa. Huficha makucha yao kwa upole wao lakini ni chui mwenye ngozi ya kondoo. Mwanaume mpole simuhitaji hata awe bilionea. Najua mwisho wake ni stress. Na watu hawataamini nikiwaeleza vituko vyake, kwa kudhani anaonewa kwa vile machoni anaonekana mpole. The same kwa wanawake wapole na wakimya.
Mbona mnatushambulia sana sisi wanaume wapole? Tatizo nini
 
Haaa haaa hujatembea wewe ukaona, wanaume wapole wana vitu vya kimya kimya wanatumia upole wao kama defensive mechanism, maana hamna mtu wa ku-judge matendo yake watu huwa wanawapa asilimia 100 kuwa hawana makandokando, kumbe balaaaa
Wanaume wapole hehehee acha kabisa,wakati wewe una mpango wa kuchepuka na Joseph jumamosi,yeye mpk hiyo jmosi kapitia anna,pendo,zubeda,rose,rukia halafu lazma ajue mipango yako na bwana Joseph be4 ya siku yenu anakuwacha tu ili yeye siku hiyo amalizie na dabo ya farida na queen km kuna mpole hayupo hivi hicho lazma kitakuwa kizizi chunguza vizuri jooh
 
"...“Despite my thirty years of research into the woman soul, I have not yet been able to answer the great question that has never been answered: What does a woman want?....”

Sigmund Freud

"Licha ya kufanya utafiti kwa miaka thelathini kuhusu nafsi ya Mwanamke, bado sijafanikiwa kujibu swali kuu ambalo halijawahi kujibiwa : Mwanamke anahitaji nini?
 
Nilisha jibu swali kama hili. Just a summary.

Women want a challenge, hilo la muhimu. Nilishatoa mfano wa hili pia. Fikiria wewe level yako Tecno, moyoni utaipenda iPhone 6 kwasababu huna uwezo nayo. Siku ukiipata, mzuka utaisha, utasema now nataka iPhone 7. Same with women, wapole wengi ni Beta males, yani kama baba yao. He will do all he can to impress a girl. Women wanasema wanapenda good guys, that's not TRUE. Relationship gets boring, wantaka spark, now and then. Muignore hata siku 2, make a plan and cancel, make her chase you, not you chasing her. Utaona kama she will ever leave. Ever wondered why wanaume wakorofi wanalast na women more than wapole? Wapole ni Mwendo wa kusema sawa in everything.

Summary siku zote ni one paragraph, since huu sio mthihani, acha niongeze.

Good guys(wapole) wengi wao wanacontroliwa na women. Akisema 'Babe kesho twende Mcity kwanza then twende shambani' atakubali. He is thinking he is making her happy, lakini kiukweli anashusha your value as a man. A man you should stand your ground. Make her jealous, look at other women in front of her and wasifie indirectly. She will work hard akuimpress. But ukiwasha green light every direction, atatafuta mwanume, since you aren't acting as one.

Majority of women are wired like that, 1/10 are not. I myself I am more of a beta man, sina muda na kuplay games. But once in a while naignore texts makusudi, akikutumia text jibu after an hour, I think it helped my relationship. Technique is called push and pull, don't exceed and be a douche bag tho

-callmeGhost
Hii mbinu huwa naitumia sana hasa mahusiano yakiwa mapya.
Kwanza inamtoa msichana kwenye reli ajione tofauti na alivyo. Kuanzia asubuhi unaweza kumcheki saa 9 jioni hata kama akipiga unaweza usipokee. Mnaweka appointment mtoke jioni then unaweza mwambia ratiba imebana au umechoka au kesho yake ukamwambia umepitiwa usingizi.

Sio kila unaita Dear, Mpenzi, Honey mara umekula. Wanawake neno romantic wanalipenda mdomoni ila sio kwa matendo maana watakuchoka mapema au kukuacha.

Ila hii mbinu at first huwa naonyesha kumjali sana msichana na hapa hela nitatumia kwa anachotaka with limit na budget kulingana na alivyo ila baada ya hapo atakuwa anaisoma namba tuu.
 
Watu hapa mnachanga upole na ukimya.
Yes kuna wanaume wapole... lakini kuna wanaume wakimya...
Hawa wakimya huwa hawaongei saaana.. sio wazee wa show off. Lakin akiwa na babe... mbona ni shida... wanapiga kazi mbaya.. wanajua majukumu yao na wana msimamo sana.
Alafu kuna hili group la wapole... wapole mpaka mazezeta.. kila kitu wakiambiwa ni yes... hawa kusalitiwa lazima. Mwanamke anataka mtu mwenye msimamo.
Wakimyaaa pia ukiwakosea hawanaga msamaha
 
Back
Top Bottom