Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 6,706
- 12,446
Kumbe niko sawa kuwa mkorofi tu
Kama mambo yapi..vile wanayakosa hebu tueleze na sisi tujue makkia wa jamii forumwanalack mambo mengi
Hahaa!!! Hebu nipe experience kidogo ya wana wake wapoleNakutaarifu pia Wanaume wapole wanavutia wanawake wengi. Hali hii hupelekea wanaume wapole kuwa na wanawake wengi hata kama ameoa. Huficha makucha yao kwa upole wao lakini ni chui mwenye ngozi ya kondoo. Mwanaume mpole simuhitaji hata awe bilionea. Najua mwisho wake ni stress. Na watu hawataamini nikiwaeleza vituko vyake, kwa kudhani anaonewa kwa vile machoni anaonekana mpole. The same kwa wanawake wapole na wakimya.
Nao hawana tofauti na wanaume wapole. Mambo zao ni chini chini hata ukihadithiwa huwezi amini mkuu.Hahaa!!! Hebu nipe experience kidogo ya wana wake wapole
Jipe moyo,wakati unakomaa kuandika txt JF wenzako wanafanya yao!!
Umenena kamandaMwanaume mpole anakuwa na tabia za kufanana na zile za demu wake kiasi cha kufanya mahusiano yawe yanaboa.
Unakuta wote ni emotional, tukio dogo wote wanatoa machozi.
*****,silly games for children.. Ukikua utaacha,..unadhani hii ndo siri ya kudumisha mahusiano? If ts not meant to be I wooont happen.. And if ts meant mtahappen tuuNilisha jibu swali kama hili. Just a summary.
Women want a challenge, hilo la muhimu. Nilishatoa mfano wa hili pia. Fikiria wewe level yako Tecno, moyoni utaipenda iPhone 6 kwasababu huna uwezo nayo. Siku ukiipata, mzuka utaisha, utasema now nataka iPhone 7. Same with women, wapole wengi ni Beta males, yani kama baba yao. He will do all he can to impress a girl. Women wanasema wanapenda good guys, that's not TRUE. Relationship gets boring, wantaka spark, now and then. Muignore hata siku 2, make a plan and cancel, make her chase you, not you chasing her. Utaona kama she will ever leave. Ever wondered why wanaume wakorofi wanalast na women more than wapole? Wapole ni Mwendo wa kusema sawa in everything.
Summary siku zote ni one paragraph, since huu sio mthihani, acha niongeze.
Good guys(wapole) wengi wao wanacontroliwa na women. Akisema 'Babe kesho twende Mcity kwanza then twende shambani' atakubali. He is thinking he is making her happy, lakini kiukweli anashusha your value as a man. A man you should stand your ground. Make her jealous, look at other women in front of her and wasifie indirectly. She will work hard akuimpress. But ukiwasha green light every direction, atatafuta mwanume, since you aren't acting as one.
Majority of women are wired like that, 1/10 are not. I myself I am more of a beta man, sina muda na kuplay games. But once in a while naignore texts makusudi, akikutumia text jibu after an hour, I think it helped my relationship. Technique is called push and pull, don't exceed and be a douche bag tho
-callmeGhost
Rafiki zamani ulikuwa mpole kweli kweli na ulikuwa hauna haya mambo kabisa ila siku zinavyozidi kwenda naona unazidi kuimprove na kushow your true colour!!.....nipe siri ya hiyo improvement please!Bad boys are existing to have them around. Good boys can be boring.
Cha Arusha rafiki @ behaviorists
Si ndo uyaseme tujicomparewanalack mambo mengi
Tofautisha kati ya povu na fact...We utakuwa unagongewa si bure! Siyo kwa povu hilo