Wewe mpuuzi tuAlikuwa na mabaya mengi kuliko mazuri,na alikuwa mtaalam wa propaganda kuliko hata hitler hao wanaomsifia walijazwa propaganda tu ni kama kagame tu,ana zuri moja tu ila mabaya mengi
Wewe mpuuzi tuAlikuwa na mabaya mengi kuliko mazuri,na alikuwa mtaalam wa propaganda kuliko hata hitler hao wanaomsifia walijazwa propaganda tu ni kama kagame tu,ana zuri moja tu ila mabaya mengi
Huyo jamaa anafanya kazi ikulu ya moja ya nchi za Africa Magharibi. Nilikutana nae jijini Siem Riep nchini Cambodia.
Anaesema sifa anazopewa Magufuli ni za kutunga basi ajiangalie tena.
Mimi binafsi naamini Mama Samia atafanya pia makubwa kwa upande wake maana yeye ni mwananfunzi wa Marais wawili Bora kabisa (JK & JPM).
We ni kengeWewe mpuuzi tu
Hata Hitler mussoline Amini dada bokasa museveni na madikteta wengine wengi wana watu wanaowaunga mkono na kuwasifia kwa sababu zao wenyewe kwa magufuli kila aliyemtazama kutokea angle ya nje na mbali atamuona kama hao rafiki zako ila njoo mtazame magufuli kama magufuli kwenye angle ya ndani utafahamu jina la kumuita mwenyewe.Huu upuuzi wa sukuma gang pele chato
Mkuu,Thanx for sharing..
Naona ulikuwa unambishia jamaa km chanjo haitakuja....na ikaja na bado vingine sasa watu wagundue how powerfull Magufuli was..kupambana na pressure za mabeberu si kazi nyepesi
Hata nikiweka huwezi kuiona,endelea tu kuamini unachokiamini.Weka Visio yake tuone
Mkuu,
Hatari sana. Huyo jamaa yupo njema sana.
He got a contract to work in South Asia and China on something and it was then that we met.
Anajua balaa. Hapo kuna msgs nyengine siwezi kuziweka hapa sababu za kiusalama.
But the guy is genius.
AmenPain...
Mkuu, very painful kumpoteza JPM
Failure isn’t losing its learning...may he rest in peace...
Mafisad na wafuasi wao hawatakuelewa,na wanaomchukia nchini ni 5% out of 100%Ndugu wana JF nimeona nishare na ninyi kile walichonieleza hawa marafiki zangu niliokutana nao South Africa kipindi nahangaikia ndoto zangu kuhusu mtazamo wao kwa aliyekuwa rais wetu JPM.
Kuna rafiki yangu raia wa Kameruni ila kwa sasa anaishi Marekani. Jamaa ni PhD wa uchumi na amefundisha baadhi ya vyuo hapo Johannesburg kabla ya kwenda Marekani kutafuta maslahi zaidi. Mwezi uliopita alikuja Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Australia ambako pia alikuwa anafanya consultation na makampuni flani yaliyokuwa yanahitaji huduma yake. Alipozuiliwa kuingia Australia kwa sababu ya restrictions za Covid 19 aliamua kuja Tanzania kupumzika hivyo nilipata wasaa wa kuonana na kuongea naye, maana tulikuwa hatujaonana zaidi ya miaka 10.
Huyu bwana alinishangaza sana kuhusu jinsi alivyokuwa anamwongelea JPM. Jamaa alikuwa anasema Tanzania tumempoteza rais bora. Acha ninukuu maneno yake. "Magufuli was the best president in Africa". Anasema "the guy was doing a good job"
Kiufupi jamaa anasema Magufuli alikuwa kiboko, na nchi alikuwa anaipeleka mbele. Nilijaribu kumwuliza kipi kinachomfanya aseme Magufuli alikuwa rais bora. Alisema yeye kama mwanauchumi na mfuatiliaji mzuri wa Siasa za Africa mambo aliyokuwa anayafanya Magufuli ni makubwa sana na hakuna rais yeyote wa Afrika mwenye huo uthubutu. Alitaja issue ya kusimamia madini na kuyabana makampuni ya kigeni kuchota madini ni kitu ambacho marais wengi Afrika kimewashinda.
Jamaa alikuwa anasema Magufuli alikuwa ni rais wa ajabu sana ambaye haogopi wazungu. Nilijaribu kumwambia mbona sisi humu nchini tunaona kama alikuwa anatupelekesha tu, tulikuwa hatuna uhuru hata wa kuongea, hofu imetanda, anaminya demokrasia. Jamaa akajibu hayo mambo ya kuminya demokrasia na kunyima uhuru hayaoni kama ni issue ya msingi ukilinganisha na kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyokuwa anaifanya. Anasema huko nje (west Africa) Magufuli ni popular sana. Jamaa anasema Magufuli was the best president in Africa.
Kuna jamaa zangu wengine raia wa Zambia na DRC. Huyu wa Zambia ameoa muaustralia na anaishi Sydney na huyu wa DRC yeye yuko Durban South Africa. Wote hawa nikiwa naongea nao huwa wanasema Magufuli was the best president ever.
Pia kuna kidada flani kizungu kiraia cha Ireland (UK) kinaishi South Africa, ni kisanii yani kinaimba mziki tulikuwa tunasoma nacho chuo kimoja na pia tunasali pamoja huwa kinaniambia Magufuli alikuwa the best president. Kilikuwa very interested na siasa za Tanzania baada ya kumwona Magufuli akifanya usafi kule feri. Kuna picha kilinitumia ya Magufuli anafanya usafi kule feri amezungukwa na wauza samaki.
Binafsi sikuwa mshabiki sana wa Magufuli ila kusema ukweli nimeanza kushawishika na kuamini kuwa jamaa alikuwa rais mzuri. Nikiangalia ile miradi aliyoianzisha kwa muda mchache aliotawala, je kama angeendelea kuwepo kwa mhula mwingine ingekuwaje. Iangalie Morogoro road kutokea Kimara kuelekea Kibaha jinsi inavyopendeza utadhani nipo barabara za South Africa. Ukiweka pembeni mapungufu yake jamaa alikuwa anaipeleka nchi mbali sana.
Tumsamehe kwa mapungufu yake na tumwombee pumziko la amani huko aliko.
Sikia dogo sisi kamwe hatumchukii Magufuri! msitulishe maneno ni dhambi pia kwenu km baba yenu huyo! ila tunacho chukia ni vitendo vyake vya kikatili dhidi ya Binadamu wenzake tena wabongo wa chini tu wasiokuwa na hatia, anao paswa kuwalinda,Mafisad na wafuasi wao hawatakuelewa,na wanaomchukia nchini ni 5% out of 100%
AChana nao hao mkuu wana test zari wametumwa na Makonda!! ili atoke chimbo! utawala gani haukudumu huoNaona wazee wa legacy mko busy Sana wiki hii na nyuzi uchwara..
Awamu yote hamkuwahi kukanyaga Ulaya na US sasa roho inawauma mkiona mama anachanja mbugha..Ulaya anaenda na Kazi zinasonga..
Huyo jamaa yako kwa nini hakuja japo kufanya Kazi Bongo aone moto wa Dhalimu Jiwe? Au mwambie aende Rwanda alafu aje kusimulia upumbavu wenu hapa.
Jitu liliharibu uchumi,lilikuza deni la Taifa hatari tupu na lilikuwa katili,liongo na jizi afu unasemaje?
Ina maana Ma Rais wenzake hawakumjua! labda wale wa EAC tu baasi! tena Musean tu wkt anapita Butiamakwa Mama yetu akasikiaMere words is equal to rubbish,weka Audi visual sio maneno ya kutunga.
Huyo marehemu wenu mnajaribu sana kumhuisha lakini ni 🚮🚮 tu...decayed and will never come back
😂🙌 kuna siku itakuja hoja kuwa hakufa bali alipaa,mtakatifu n.k. wakati tunajua alikuwa ni shetani ,na msiba wake hakuna rais ata mmoja wa magaharibi aliehudhuria
Wanaopinga siyo bavicha tu, kuna wasiyojua uchumi, wanaccm na watoto wa shangazi.Mabavicha watapinga
Kama vile sisi Watanzania tulivyokuwa tunamuona Mugabe ni Rais bora au baadhi ya watanzania wanaomuhusudu Kagame na Rwanda yake.Ndugu wana JF nimeona nishare na ninyi kile walichonieleza hawa marafiki zangu niliokutana nao South Africa kipindi nahangaikia ndoto zangu kuhusu mtazamo wao kwa aliyekuwa rais wetu JPM.
Kuna rafiki yangu raia wa Kameruni ila kwa sasa anaishi Marekani. Jamaa ni PhD wa uchumi na amefundisha baadhi ya vyuo hapo Johannesburg kabla ya kwenda Marekani kutafuta maslahi zaidi. Mwezi uliopita alikuja Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Australia ambako pia alikuwa anafanya consultation na makampuni flani yaliyokuwa yanahitaji huduma yake. Alipozuiliwa kuingia Australia kwa sababu ya restrictions za Covid 19 aliamua kuja Tanzania kupumzika hivyo nilipata wasaa wa kuonana na kuongea naye, maana tulikuwa hatujaonana zaidi ya miaka 10.
Huyu bwana alinishangaza sana kuhusu jinsi alivyokuwa anamwongelea JPM. Jamaa alikuwa anasema Tanzania tumempoteza rais bora. Acha ninukuu maneno yake. "Magufuli was the best president in Africa". Anasema "the guy was doing a good job"
Kiufupi jamaa anasema Magufuli alikuwa kiboko, na nchi alikuwa anaipeleka mbele. Nilijaribu kumwuliza kipi kinachomfanya aseme Magufuli alikuwa rais bora. Alisema yeye kama mwanauchumi na mfuatiliaji mzuri wa Siasa za Africa mambo aliyokuwa anayafanya Magufuli ni makubwa sana na hakuna rais yeyote wa Afrika mwenye huo uthubutu. Alitaja issue ya kusimamia madini na kuyabana makampuni ya kigeni kuchota madini ni kitu ambacho marais wengi Afrika kimewashinda.
Jamaa alikuwa anasema Magufuli alikuwa ni rais wa ajabu sana ambaye haogopi wazungu. Nilijaribu kumwambia mbona sisi humu nchini tunaona kama alikuwa anatupelekesha tu, tulikuwa hatuna uhuru hata wa kuongea, hofu imetanda, anaminya demokrasia. Jamaa akajibu hayo mambo ya kuminya demokrasia na kunyima uhuru hayaoni kama ni issue ya msingi ukilinganisha na kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyokuwa anaifanya. Anasema huko nje (west Africa) Magufuli ni popular sana. Jamaa anasema Magufuli was the best president in Africa.
Kuna jamaa zangu wengine raia wa Zambia na DRC. Huyu wa Zambia ameoa muaustralia na anaishi Sydney na huyu wa DRC yeye yuko Durban South Africa. Wote hawa nikiwa naongea nao huwa wanasema Magufuli was the best president ever.
Pia kuna kidada flani kizungu kiraia cha Ireland (UK) kinaishi South Africa, ni kisanii yani kinaimba mziki tulikuwa tunasoma nacho chuo kimoja na pia tunasali pamoja huwa kinaniambia Magufuli alikuwa the best president. Kilikuwa very interested na siasa za Tanzania baada ya kumwona Magufuli akifanya usafi kule feri. Kuna picha kilinitumia ya Magufuli anafanya usafi kule feri amezungukwa na wauza samaki.
Binafsi sikuwa mshabiki sana wa Magufuli ila kusema ukweli nimeanza kushawishika na kuamini kuwa jamaa alikuwa rais mzuri. Nikiangalia ile miradi aliyoianzisha kwa muda mchache aliotawala, je kama angeendelea kuwepo kwa mhula mwingine ingekuwaje. Iangalie Morogoro road kutokea Kimara kuelekea Kibaha jinsi inavyopendeza utadhani nipo barabara za South Africa. Ukiweka pembeni mapungufu yake jamaa alikuwa anaipeleka nchi mbali sana.
Tumsamehe kwa mapungufu yake na tumwombee pumziko la amani huko aliko.