Mtazamo wa kiuhandisi: Interchange ya Ubungo vs Jengo la PPF (TANESCO)

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Kuweka kumbukumbu sawa, jengo la Tanesco Ubungo liligharimu zaidi ya Tshs. bilioni 51 za kitanzania fedha ambazo ni za walipakodi waliowekeza PPF. Kwa sasa PPF wanapata return on investment kupitia Tanesco. Sina uhakika kama mrejesho wa fedha umeshakamilika kutokana na wapangaji hao Tanesco.

Kupanga ni kuchagua, hapa sitaongelea kabisa jengo la wizara ya maji ambalo nalo lina gharama zake

Kupanga ni kuchagua: Interchange vs PPF tower (Tanesco Ubungo)
Kwanza kuna miradi mitatu inayoendelea ya kuhamishia mabasi yote yanayoenda kusini maeneo ya Mbagala, mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Morogoro yatahamishiwa maeneo ya Mbezi mwisho na mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Tanga yatahamishiwa eneo la Bunju. Easiest project with minimum initial coast.

Kwa maana hiyo tayari hiyo interchange ya Ubungo hapatakuwa na foleni ya mabasi makubwa ya abiria! Hapatapita basi lolote la abiria baada ya mradi huu wa stand mpya.

Pale sasa patabakia kupita malori yatokayo bandarini +daladala+magari binafsi.

Aibu Aibu Aibu kwa nchi yetu iliyojaa pori lote lile la kurasini na vibanda vile ambavyo ni rahisi sana kulipa fidia, bado tunaruhusu malori yanayoenda Morogoro eti yapitie kurudi Ubungo! Aibu!

Kwa utafiti wangu nilioufanya malori mengi sana yanayotoka bandarini yanaishia ku-divert pale Chalinze kuelekea sehemu nyingine kupitia Morogoro. Kwanini tuyazungushie Ubungo? Vichwa vyetu tumewekeza kwenye "bomoa" yenye gharama kubwa baadaye.

Kama tutafanikiwa kujiongeza kidogo tu kisha tukajenga njia maalum ya malori ambayo kwenye tozo tu tutapata hela nyingi na ukaguzi wa uhakika basi tutakuwa tumeyaondoa barabara ya TAZARA kuja Ubungo kwa gharama ndogo sana. Sasa pale Ubungo patabaki kupita daladala za kwa Kimboka na vijigari aina ya vipasso! Hawa ndo wawekezewe flyover zitakazogharimu mabilioni kwa mabilioni?

Wakati Magufuli akisema "Vunja" Magufuli huyohuyo atakuja na ubunifu mwingine wa kodi za hovyo ili aweze kujenga wizara nyingine ya maji (Hata kama mnahamia Dodoma mnaweza kupangisha pale na bado mkatengeneza hela.

Nilitembelea China mji wa Shanghai juzijuzi, aisee kujenga tena ma flyover ni ushamba kwelikweli. Watu wanajitahidi kutanua miji ili watu wasambae, kujenga metro system ili watu wasafiri mbali kwa haraka na kuwa huru kuishi maeneo ya mbali baada ya kuwa na uhakika wa usafiri wa metro system, nyie mnaenda kwenye fly over za kupigia picha? Kuvunja majengo ambayo mtalazimika kuyajenga upya?

Mbaya zaidi ukitoka tu pale Ubungo unakutana na foleni Magomeni, mita chache tu kutoka Ubungo! Umerahisisha nini?

Tufanye hivi: Tayari tuna mradi wa mwendo kasi (njia za kupita mabasi makubwa ya abiria bila kuchanganywa na usafiri mwingine) Huu ni mradi mzuri ambao unahitaji tu kuongeza network na mabasi mengi. Hapo unaendelea kupunguza idadi ya vigari barabarani kutokana na uwekezaji huo. Mimi niliwasifu China. Huu mradi waliiga kila kitu kutoka kwetu ila wao wameenda mbali kutumia mabasi ya umeme! Ingawa mradi huu kule kwao hauna maana sana kwani wana metro system ambapo mtu anaweza kuingia mjini kwa haraka sana kutokea vijijini ila wao metro system yao pia hawakuhangaika kuvunja towers zenye bado kudai kimuonekano ( zinazouza nyago kama yale ya Tanesco na maji). Wao waliipitisha chini kwa chini na pale walipolazimika kuileta juu basi waliepuka sana vitu vya gharama. Treni moja inaweza kuchukua watu zaidi ya 2000 na kwa uhakika wa safari pia haraka. Huko ndiko kuwekeza (long term project) Siyo kuja kujenga fly over za kuuzia sura tena ukitoka tu mita chache mbele unakutana na yaleyale. Nimekaa nchi za watu, nimegundua kuwa fly overs ni useless na hawawekezi tena kwenye huo upuuzi!

Kuna wadau huko wanasema kuwa kuna mradi wa reli ambapo train zitakuwa zinatoka bandari ya Dar kwenda hadi Kwala ambapo patajengwa Bandari kavu, huo ni mradi mzuri ambao utaondoa malori kuja katikati ha mji. Sasa hiyo interchange ya nini? Itatulipa? Vipi kuhusu junctions kibao kuanzia pale Shekilango?

Daah!
 
Mkuu unadhani mawazo yako hayo hayapo kwa baadhi ya washauri lukuki waliopo serikalini na pale ofisi kuu? wapo na wenye weledi mkubwa mno, lakini sasa hivi washauri ndio wao wanapokea ushauri toka kwa yule ambaye wanapaswa kumshauri. Yaani Mshauriwa ndiye yeye mshauri wa washauri. Tena kwa terms kwamba hutaki toka!
 
Mkuu unadhani mawazo yako hayo hayapo kwa baadhi ya washauri lukuki waliopo serikalini na pale ofisi kuu? wapo na wenye weledi mkubwa mno, lakini sasa hivi washauri ndio wao wanapokea ushauri toka kwa yule ambaye wanapaswa kumshauri. Yaani Mshauriwa ndiye yeye mshauri wa washauri. Tena kwa terms kwamba hutaki toka!
Tatizo lipo kwa mshauriwa, na mbaya zaidi atakachokiongea yeye, needs utekelezaji only na sio bla bla zingine. Huyu jamaa ni kimeo sana
 
Watanzania hawahawa ndiyo walewale waliomsemaga vibaya Rais Mkapa pindi anahamisha stand kutoka Kisutu kuhamia Ubungo.

Na baadaye lawama zilizimika ghafla baada ya pale Ubungo kuwa ni source ya ajira nyingi kwa Watanzania.

Mungu ibariki nchi yetu! Mungu mbariki Rais Magufuli.
 
Mm sina uhakika na flyovers....

Ukitoka kimara ukaruka kihunzi cha ubungo maji/mataa , utaikuta ya shekilango, ya urafiki, ya usalama, ya mapipa, ya jangwani, ya fire kwenda mhimbili, ya fire kwenda Kkoo, ya Lumumba, ya bb titi...ah nmechoka...gari zilizopita kwa raha ubungo zitatengeneza foleni maeneo tajwa....only if barabara mbadala hazitakuwepo.

Tuwaze pia kutanua shughuli mhimu ziwepo tegeta, mbagala, gongola mboto, mbezi, kimara...kinyerezi, kigamboni....huko kote uwekezaji binafsi uwekwe....tupunguze kwenda wote Kkoo na posta
 
Sion haja ya kuamisha kituo cha Mabasi Ubungo km ni hivyo sasa! Ili tuendelee kuwa na urahisi Wa mabus kufika ubungo ambako kuna urahisi Wa usafiri Wa tunapoenda tofauti na Mbezi

Sent from my TECNO_P5_PLUS using JamiiForums mobile app
 
Kuweka kumbukumbu sawa, jengo la Tanesco Ubungo liligharimu zaidi ya Tshs. bilioni 51 za kitanzania fedha ambazo ni za walipakodi waliowekeza PPF. Kwa sasa PPF wanapata return on investment kupitia Tanesco. Sina uhakika kama mrejesho wa fedha umeshakamilika kutokana na wapangaji hao Tanesco.

Kupanga ni kuchagua, hapa sitaongelea kabisa jengo la wizara ya maji ambalo nalo lina gharama zake

Kupanga ni kuchagua: Interchange vs PPF tower (Tanesco Ubungo)
Kwanza kuna miradi mitatu inayoendelea ya kuhamishia mabasi yote yanayoenda kusini maeneo ya Mbagala, mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Morogoro yatahamishiwa maeneo ya Mbezi mwisho na mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Tanga yatahamishiwa eneo la Bunju. Easiest project with minimum initial coast.

Kwa maana hiyo tayari hiyo interchange ya Ubungo hapatakuwa na foleni ya mabasi makubwa ya abiria! Hapatapita basi lolote la abiria baada ya mradi huu wa stand mpya.

Pale sasa patabakia kupita malori yatokayo bandarini +daladala+magari binafsi.

Aibu Aibu Aibu kwa nchi yetu iliyojaa pori lote lile la kurasini na vibanda vile ambavyo ni rahisi sana kulipa fidia, bado tunaruhusu malori yanayoenda Morogoro eti yapitie kurudi Ubungo! Aibu!

Kwa utafiti wangu nilioufanya malori mengi sana yanayotoka bandarini yanaishia ku-divert pale Chalinze kuelekea sehemu nyingine kupitia Morogoro. Kwanini tuyazungushie Ubungo? Vichwa vyetu tumewekeza kwenye "bomoa" yenye gharama kubwa baadaye.

Kama tutafanikiwa kujiongeza kidogo tu kisha tukajenga njia maalum ya malori ambayo kwenye tozo tu tutapata hela nyingi na ukaguzi wa uhakika basi tutakuwa tumeyaondoa barabara ya TAZARA kuja Ubungo kwa gharama ndogo sana. Sasa pale Ubungo patabaki kupita daladala za kwa Kimboka na vijigari aina ya vipasso! Hawa ndo wawekezewe flyover zitakazogharimu mabilioni kwa mabilioni?

Wakati Magufuli akisema "Vunja" Magufuli huyohuyo atakuja na ubunifu mwingine wa kodi za hovyo ili aweze kujenga wizara nyingine ya maji (Hata kama mnahamia Dodoma mnaweza kupangisha pale na bado mkatengeneza hela.

Nilitembelea China mji wa Shanghai juzijuzi, aisee kujenga tena ma flyover ni ushamba kwelikweli. Watu wanajitahidi kutanua miji ili watu wasambae, kujenga metro system ili watu wasafiri mbali kwa haraka na kuwa huru kuishi maeneo ya mbali baada ya kuwa na uhakika wa usafiri wa metro system, nyie mnaenda kwenye fly over za kupigia picha? Kuvunja majengo ambayo mtalazimika kuyajenga upya?

Mbaya zaidi ukitoka tu pale Ubungo unakutana na foleni Magomeni, mita chache tu kutoka Ubungo! Umerahisisha nini?
Daah!
Jengo la wizara ya maji tayari limeshajengwa pale karibu na chuo cha maji. Ni kubwa wachangie na TANESCO. Kuna parking ya kutosha na nafasi ya kutosha. Bado mawazo yako ni ya kilogistics zaidi sio kihandisi. Kihandisi ungewaeleza watu namna ya.kui-accomodate hiyo flyover katika existing situation
 
Kuweka kumbukumbu sawa, jengo la Tanesco Ubungo liligharimu zaidi ya Tshs. bilioni 51 za kitanzania fedha ambazo ni za walipakodi waliowekeza PPF. Kwa sasa PPF wanapata return on investment kupitia Tanesco. Sina uhakika kama mrejesho wa fedha umeshakamilika kutokana na wapangaji hao Tanesco.

Kupanga ni kuchagua, hapa sitaongelea kabisa jengo la wizara ya maji ambalo nalo lina gharama zake

Kupanga ni kuchagua: Interchange vs PPF tower (Tanesco Ubungo)
Kwanza kuna miradi mitatu inayoendelea ya kuhamishia mabasi yote yanayoenda kusini maeneo ya Mbagala, mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Morogoro yatahamishiwa maeneo ya Mbezi mwisho na mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Tanga yatahamishiwa eneo la Bunju. Easiest project with minimum initial coast.

Kwa maana hiyo tayari hiyo interchange ya Ubungo hapatakuwa na foleni ya mabasi makubwa ya abiria! Hapatapita basi lolote la abiria baada ya mradi huu wa stand mpya.

Pale sasa patabakia kupita malori yatokayo bandarini +daladala+magari binafsi.

Aibu Aibu Aibu kwa nchi yetu iliyojaa pori lote lile la kurasini na vibanda vile ambavyo ni rahisi sana kulipa fidia, bado tunaruhusu malori yanayoenda Morogoro eti yapitie kurudi Ubungo! Aibu!

Kwa utafiti wangu nilioufanya malori mengi sana yanayotoka bandarini yanaishia ku-divert pale Chalinze kuelekea sehemu nyingine kupitia Morogoro. Kwanini tuyazungushie Ubungo? Vichwa vyetu tumewekeza kwenye "bomoa" yenye gharama kubwa baadaye.

Kama tutafanikiwa kujiongeza kidogo tu kisha tukajenga njia maalum ya malori ambayo kwenye tozo tu tutapata hela nyingi na ukaguzi wa uhakika basi tutakuwa tumeyaondoa barabara ya TAZARA kuja Ubungo kwa gharama ndogo sana. Sasa pale Ubungo patabaki kupita daladala za kwa Kimboka na vijigari aina ya vipasso! Hawa ndo wawekezewe flyover zitakazogharimu mabilioni kwa mabilioni?

Wakati Magufuli akisema "Vunja" Magufuli huyohuyo atakuja na ubunifu mwingine wa kodi za hovyo ili aweze kujenga wizara nyingine ya maji (Hata kama mnahamia Dodoma mnaweza kupangisha pale na bado mkatengeneza hela.

Nilitembelea China mji wa Shanghai juzijuzi, aisee kujenga tena ma flyover ni ushamba kwelikweli. Watu wanajitahidi kutanua miji ili watu wasambae, kujenga metro system ili watu wasafiri mbali kwa haraka na kuwa huru kuishi maeneo ya mbali baada ya kuwa na uhakika wa usafiri wa metro system, nyie mnaenda kwenye fly over za kupigia picha? Kuvunja majengo ambayo mtalazimika kuyajenga upya?

Mbaya zaidi ukitoka tu pale Ubungo unakutana na foleni Magomeni, mita chache tu kutoka Ubungo! Umerahisisha nini?
Daah!
Sam uko vizuri yaani
Kuweka kumbukumbu sawa, jengo la Tanesco Ubungo liligharimu zaidi ya Tshs. bilioni 51 za kitanzania fedha ambazo ni za walipakodi waliowekeza PPF. Kwa sasa PPF wanapata return on investment kupitia Tanesco. Sina uhakika kama mrejesho wa fedha umeshakamilika kutokana na wapangaji hao Tanesco.

Kupanga ni kuchagua, hapa sitaongelea kabisa jengo la wizara ya maji ambalo nalo lina gharama zake

Kupanga ni kuchagua: Interchange vs PPF tower (Tanesco Ubungo)
Kwanza kuna miradi mitatu inayoendelea ya kuhamishia mabasi yote yanayoenda kusini maeneo ya Mbagala, mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Morogoro yatahamishiwa maeneo ya Mbezi mwisho na mabasi yote yanayoenda kaskazini kupitia Tanga yatahamishiwa eneo la Bunju. Easiest project with minimum initial coast.

Kwa maana hiyo tayari hiyo interchange ya Ubungo hapatakuwa na foleni ya mabasi makubwa ya abiria! Hapatapita basi lolote la abiria baada ya mradi huu wa stand mpya.

Pale sasa patabakia kupita malori yatokayo bandarini +daladala+magari binafsi.

Aibu Aibu Aibu kwa nchi yetu iliyojaa pori lote lile la kurasini na vibanda vile ambavyo ni rahisi sana kulipa fidia, bado tunaruhusu malori yanayoenda Morogoro eti yapitie kurudi Ubungo! Aibu!

Kwa utafiti wangu nilioufanya malori mengi sana yanayotoka bandarini yanaishia ku-divert pale Chalinze kuelekea sehemu nyingine kupitia Morogoro. Kwanini tuyazungushie Ubungo? Vichwa vyetu tumewekeza kwenye "bomoa" yenye gharama kubwa baadaye.

Kama tutafanikiwa kujiongeza kidogo tu kisha tukajenga njia maalum ya malori ambayo kwenye tozo tu tutapata hela nyingi na ukaguzi wa uhakika basi tutakuwa tumeyaondoa barabara ya TAZARA kuja Ubungo kwa gharama ndogo sana. Sasa pale Ubungo patabaki kupita daladala za kwa Kimboka na vijigari aina ya vipasso! Hawa ndo wawekezewe flyover zitakazogharimu mabilioni kwa mabilioni?

Wakati Magufuli akisema "Vunja" Magufuli huyohuyo atakuja na ubunifu mwingine wa kodi za hovyo ili aweze kujenga wizara nyingine ya maji (Hata kama mnahamia Dodoma mnaweza kupangisha pale na bado mkatengeneza hela.

Nilitembelea China mji wa Shanghai juzijuzi, aisee kujenga tena ma flyover ni ushamba kwelikweli. Watu wanajitahidi kutanua miji ili watu wasambae, kujenga metro system ili watu wasafiri mbali kwa haraka na kuwa huru kuishi maeneo ya mbali baada ya kuwa na uhakika wa usafiri wa metro system, nyie mnaenda kwenye fly over za kupigia picha? Kuvunja majengo ambayo mtalazimika kuyajenga upya?

Mbaya zaidi ukitoka tu pale Ubungo unakutana na foleni Magomeni, mita chache tu kutoka Ubungo! Umerahisisha nini?
Daah!

Sam uko vizuri umeeleza vizuri sana. Ni umbumbu kuvunja gorofa zuri, kubwa kama lile, lililoligharim taifa mabilioni kwa sijui flyover ambayo ukitoka angani unakutana tena na foleni ya kufa mtu. Kwanza barabara zinazoingia kwenye flyover bado hazijapanuliwa ivyo foleni itakuwa pale pale na uenda ikawa mpaka uko juu kwenye flyover.

Njia ya kuondoa foleni katka jiji la Dar ilikuwa ni kuweka miundo mbinu mizuri katika barabara za mitaani yaani barabara za mitaani ziwe na lami ili unapokwama kwenye main road upate pa kudaivate. Ndivyo miji mikubwa inavyofanya mfano kwenda Morogoro au Tanga kunaweza kukawa hata na njia sita tofauti siyo mpaka upitie ubungo.

Leo uvunje gorofa kama lile halafu kesho utapata wapi 5 billion ya kujenga lingine na litachukua muda gani. Katika dunia ya sasa huwezi vunja gorofa kama lile ambalo halijafikisha hata miaka 60 tangu lijengwe, kweli Tanzania wamepata rais kichaa yaani ambaye ajali wala hajui mahesabu.

Gorofa linapendeza ubungo linavutia leo unakuja eti flyover kwani io glyover likipita moja kwa moja bila kuwa na round about kutakuwa na tatizo kwasababu upana inatosha.

Tanzania tunarudi na kuelekea kama Zimbabwe, wenzetu wameamka leo na kutaka kusonga mbele. Sisi ndio tunavunja na kuelekea kama wao
 
Back
Top Bottom