Mbunge ni mwakilishi wa jimbo husika pale bungeni. Mbunge ni kioo cha jimbo husika. Mi nafikiri ni uzalilishaji mkubwa sana kwa wananchi wa jimbo husika kuwekewa mbunge wao gerezani, Hasa anapokuwa kwenye harakati za kutenda haki.
Watu wa Arusha inabidi muonyeshe mfano kupinga hilo, sisi wengine tupo nyuma yenu, Nyie mkiwa kimya na wengine wa majimbo mengine watafuata.
Kama mmeamuaa kufanya kitu kesho kukomesha hali hii, na mfanye kweli. Askari wanaishi kwa kodi zetu, tunawalipa kulinda haki na sio kutunyanyasa kwa maslahi yao binafsi.
Agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Mbona hamkusema hayo alipowekwa ndani Mbunge wa CUF?
Hivi sheria za bunge zinasemaje kuhusu mbunge kufungwa?
Nafikiri anatakiwa anyang'anywe ubunge. Chadema inatubidi tumtafute mtu makini wa kuiongoza Arusha
Hivi sheria za bunge zinasemaje kuhusu mbunge kufungwa?
Nafikiri anatakiwa anyang'anywe ubunge. Chadema inatubidi tumtafute mtu makini wa kuiongoza Arusha
Mbona hamkusema hayo alipowekwa ndani Mbunge wa CUF?
Mbunge ni mwakilishi wa jimbo husika pale bungeni. Mbunge ni kioo cha jimbo husika. Mi nafikiri ni uzalilishaji mkubwa sana kwa wananchi wa jimbo husika kuwekewa mbunge wao gerezani, Hasa anapokuwa kwenye harakati za kutenda haki.
Watu wa Arusha inabidi muonyeshe mfano kupinga hilo, sisi wengine tupo nyuma yenu, Nyie mkiwa kimya na wengine wa majimbo mengine watafuata.
Kama mmeamuaa kufanya kitu kesho kukomesha hali hii, na mfanye kweli. Askari wanaishi kwa kodi zetu, tunawalipa kulinda haki na sio kutunyanyasa kwa maslahi yao binafsi.
Agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Aliwekwa aliomba kukaa gerezani mwenyewe..
Wananchi wa Arusha wana kazi za kufanya hawawezi kuomba kukaa jela..
Ujue lema ruzuku yake kubwa sana siyo na dereva wa bodaboda
Aliwekwa aliomba kukaa gerezani mwenyewe..
Wananchi wa Arusha wana kazi za kufanya hawawezi kuomba kukaa jela..
Ujue lema ruzuku yake kubwa sana siyo na dereva wa bodaboda
Hivi sheria za bunge zinasemaje kuhusu mbunge kufungwa?
Nafikiri anatakiwa anyang'anywe ubunge. Chadema inatubidi tumtafute mtu makini wa kuiongoza Arusha
Hivi sheria za bunge zinasemaje kuhusu mbunge kufungwa?
Nafikiri anatakiwa anyang'anywe ubunge. Chadema inatubidi tumtafute mtu makini wa kuiongoza Arusha
FB Lema hajafungwa, Prof Lipumba alikaa mahabusu Ukonga mpaka alipoachiwa lakini alogombea urais, sheria inasema mtu alitenda kosa la jinai na akahukumiwa jela anapoteza sifa ya kuwa kiongozi wala kugombea nafasi yoyote serikalini. Nakupa mfano mwingine Nyali yule jamaa aliyesifika kwa ujambazi na kukaa mahabusu Isanga na Gereza Arusha saizi ni diwani wa Mereleni na kama siyo fitna za Lowasa angechuana na Lema katika kinyang'anyiro cha ubunge uliopita. Kama jambo hulijui ni bora kukaa kimya.Hivi sheria za bunge zinasemaje kuhusu mbunge kufungwa?
Nafikiri anatakiwa anyang'anywe ubunge. Chadema inatubidi tumtafute mtu makini wa kuiongoza Arusha
commets zako zimekaa kishoga sana. Pole!