Mtazamo: Volunteers wapewe vipaumbele

ShalomP

Member
Jun 14, 2019
97
154
Katika Taasisi za Elimu, taasisi za afya, kwenye mashirika binafsi na mashirika ya kiserikali na makampuni mbalimbali, kuna baadhi ya vijana ambao wapo wanafanya kazi kwa kujitolea (volunteering).

Tena wanafanya kazi kwa moyo wa uzalendo unaweza ukadhani tayari wameajiriwa kumbe bado. Taasisi za elimu na afya kuna walimu, manesi na madaktari wanafanya kazi kama volunteer ili kutopoteza ujuzi wao na taaluma yao.

Pia hujijengea uzoefu wa kutosha hasa katika soko la ajira na wanajifunza jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali eneo la kazi. Wapo waliojitolea kwa muda wa miaka miwili, mitatu na minne. Lakini zinapotoka nafasi za ajira hawapewi kipaumbele, tofauti na miaka ya nyuma volunteer walikuwa wanapewa kipaumbele kwenye nafasi za ajira pindi zinapojitokeza.

Mamlaka zinazohusika, ni maombi yangu hawa volunteers waliojitolea kwenye taasisi za elimu na afya kwa miaka miwili, mitatu wapewe vipaumbele. Pia, wangeruhusiwa hata kupeleka maombi kwenye vituo vyao vya kazi kwa wakuu wao au halmashauri wanazotokea. Wengi wao wanafahamika kwenye vituo wanavyofanyia kazi.

#Kuwa mzalendo, ipende nchi yako. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania .

Angalizo: Mtazamo wangu hauna uhusiano na itikadi ya chama chochote. Lugha za kumkashifu mtu yeyote au kiongozi yeyote au mamlaka yoyote haziruhusiwi.

Nawaheshimu wote, nawapenda wote. Peace and love!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana,hiyo ilikuwepo lakini ilileta majanga sababu mchakato WA kupata nafasi ya ku volunteer haiko wazi,watu walijaza ndugu zao kwenye Ku volunteer ili baadae wapewe kipaumbele kwenye ajira,mchakato WA ajira uendelee kuwa wa wazi na ushindani,hata kama amevolunteer kama anajua kazi ashindane na wenzie kuna watu wanakosa nafasi za kuvolunteer sababu hawawajui watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana,hiyo ilikuwepo lakini ilileta majanga sababu mchakato WA kupata nafasi ya ku volunteer haiko wazi,watu walijaza ndugu zao kwenye Ku volunteer ili baadae wapewe kipaumbele kwenye ajira,mchakato WA ajira uendelee kuwa wa wazi na ushindani,hata kama amevolunteer kama anajua kazi ashindane na wenzie kuna watu wanakosa nafasi za kuvolunteer sababu hawawajui watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni kubwa za kimataifa na Ngo za kimataifa hata KU volunteer lazima ufanyishwe interview ya kufa mtu Wanachuja kwa interview
 
Volunteers wanaingia kwenye hizo taasisi kwa kufahamiana na udugu, hakuna usawa kwenye ku-enroll hao vulunteers, kuna vijana wamekosa hizo nafasi kwa kuwa hawana ndugu kwenye taasisi lakini ni smart, watabaniwa.

Washindanishwe
 
Hapana,hiyo ilikuwepo lakini ilileta majanga sababu mchakato WA kupata nafasi ya ku volunteer haiko wazi,watu walijaza ndugu zao kwenye Ku volunteer ili baadae wapewe kipaumbele kwenye ajira,mchakato WA ajira uendelee kuwa wa wazi na ushindani,hata kama amevolunteer kama anajua kazi ashindane na wenzie kuna watu wanakosa nafasi za kuvolunteer sababu hawawajui watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
unachosema ni sahihi mkuu na ikumbukwe pia kuna ofisi hawatoi hata senti 100 hivyo inabidi uwe vizuri mwenyewe au uwe na backup ya uhakika hasa vitu kama nauli,chakula, nk kitu ambacho Kwa watoto wa familia ambazo jicho ndo linakutazama wewe ni ngumu inakubidi ufanye Tu issue zako zingine.

Kwa kusema waajiriwe wanaojitolea Tu tujiulize hawa watoto wa familia hizi za chini ina maana hawataajiriwa maana wengi wao wamekosa hizo nafasi za kujitolea ama wanashindwa kumudu gharama za maisha kuweza kujitolea kwenye ofisi ama taasisi Fulani..

binafsi sikubaliani Kwa asilimia kadhaa.
 
Volunteers wanaingia kwenye hizo taasisi kwa kufahamiana na udugu, hakuna usawa kwenye ku-enroll hao vulunteers, kuna vijana wamekosa hizo nafasi kwa kuwa hawana ndugu kwenye taasisi lakini ni smart, watabaniwa.

Washindanishwe
Nakuunga mkono mkuu maana mwingine akiomba anaambiwa nafasi hamna..
 
Volunteers wanaingia kwenye hizo taasisi kwa kufahamiana na udugu, hakuna usawa kwenye ku-enroll hao vulunteers, kuna vijana wamekosa hizo nafasi kwa kuwa hawana ndugu kwenye taasisi lakini ni smart, watabaniwa.

Washindanishwe
Uko sahihi kabisa Kuna wengine wamekosa nafasi kwa sababu hawana conection,lakini ukiwapa nafasi ni wenye uwezo na wako smart na makini ila hawajapata nafasi ya kuonesha kilichopo ndani yao.Maisha ya saizi yamejaa kujuana na conection.
 
Usomi ,uaminifu na ustahimilivu ,ndomana uchagani wakojuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usomi wao hauna Tija kwa taifa. Wamesoma lakini hawakuweza kujenga SGR wala kujenga barabara. Migodi ya Tanzanite miaka yote wamepora mpaka Msukuma alipowajengea ukuta kwa mara ya kwanza tumeona Tanzanite kubwa dunia.
Kweli hawa ndugu ni useless group kwa mstakabari taifa.
 
Usomi ,uaminifu na ustahimilivu ,ndomana uchagani wakojuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usomi wao hauna Tija kwa taifa. Wamesoma lakini hawakuweza kujenga SGR wala kujenga barabara. Migodi ya Tanzanite miaka yote wamepora mpaka Msukuma alipowajengea ukuta kwa mara ya kwanza tumeona Tanzanite kubwa dunia.
Kweli hawa ndugu ni useless group kwa mstakabari taifa.
 
Back
Top Bottom