Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,998
- 144,337
Kwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka sasa swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hamasa miongoni mwa wananchi.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka sasa swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hamasa miongoni mwa wananchi.