yas-mic
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 471
- 724
Nadhani mpaka sasa asilimia zaidi ya 50 ya watanzania washaiona video hiyo na zaidi ya asilimia themanini wameshasikia au kusimuliwa kuhusu tukio hilo.
Mimi binafsi pia ni mmoja wa watu ambao naamini kwa 100% kuwa yule ni Mchungaji, lakini je ni nini kilimfanya afikie hatua hiyo ya kujirekodi wakati akifanya tendo hilo ? Nimekuja na hypothesis tatu ambazo najaribu kuzitafutia majibu japo nadhani sitafanikiwa.
1: katika video, sura pekee inayoonekana ni ya mchungaji, yule binti anaonekana nusu tu. Hapa napata shida sana kukubaliana na akili yangu kuwa lile tukio lilikua la kawaida. Nimezoea kuona mara nyingi mdada ndio huonekana au sometimes wote.
2: mwanamke katika ile video kutoonyesha ushirikiano wowote. Yaani ni kama sex toy tu imewekwa hapo ili mtu amalize haja zake.
3: video imetawaliwa na simanzi, hapa namaanisha kwamba wahusika wapo katika utulivu wa hali ya juu mno. Kwa uelewa wangu mdogo kuhusu what so called Love and sex ni kuwa kunakua na vimbwembwe fulani hivi. Lakini kwa hili la mchungaji inaonyesha kama wahusika wa lile tendo ni watu ambao hata hawajazoeana.
Mahusiano ya mchungaji na watu wengine katika jamii.
Wote nadhani tunamjua Mchungaji vile ambavyo amekua akiingia kwenye sintofahamu na watu mbalimbali hasa katika jamii kupitia aina ya mahubiri katika kanisa lake kupitia principle yake ya 'ONE TOUCH DOUBLE MANIFESTATION' ambayo kipindi cha nyuma ameitumia sana kuwalipua watu mbalimbali.
Tujaribu kutafakari yafuatayo;
-Je hili linaweza likawa ni tukio la kulipiza kisasi?
-Je inawezekana limefanyika chini ya uangalizi wa mtutu wa bunduki?
-Je yule dada katika video, alitoa sharti la kutoonekana sura yake katika ile video ili waweze kufanikisha zoezi.?
-Ukimya wa Mhusika katika ile video ni ishara kwamba ame adhere na yale yaliyotokea na anatafakari nini cha kuja kutuambia? Au anasubiri jumapili kanisani?
Au amepigwa marufuku kusema chochote mpaka pale asilimia kubwa ya wa Tz watakapokua wamekua well informed na hii habari? Au tutegemee press ya mchungaji hivi karibuni ?
Au yawezekana mchungaji hayupo uraiani kwa sasa?
NB: Mchungaji ni mtu kama watu wengine. Inawezekana pia hili tukio kutokea huku akiwa na utashi wake kabisa bila kuwa na any motives behind.
Mimi binafsi pia ni mmoja wa watu ambao naamini kwa 100% kuwa yule ni Mchungaji, lakini je ni nini kilimfanya afikie hatua hiyo ya kujirekodi wakati akifanya tendo hilo ? Nimekuja na hypothesis tatu ambazo najaribu kuzitafutia majibu japo nadhani sitafanikiwa.
1: katika video, sura pekee inayoonekana ni ya mchungaji, yule binti anaonekana nusu tu. Hapa napata shida sana kukubaliana na akili yangu kuwa lile tukio lilikua la kawaida. Nimezoea kuona mara nyingi mdada ndio huonekana au sometimes wote.
2: mwanamke katika ile video kutoonyesha ushirikiano wowote. Yaani ni kama sex toy tu imewekwa hapo ili mtu amalize haja zake.
3: video imetawaliwa na simanzi, hapa namaanisha kwamba wahusika wapo katika utulivu wa hali ya juu mno. Kwa uelewa wangu mdogo kuhusu what so called Love and sex ni kuwa kunakua na vimbwembwe fulani hivi. Lakini kwa hili la mchungaji inaonyesha kama wahusika wa lile tendo ni watu ambao hata hawajazoeana.
Mahusiano ya mchungaji na watu wengine katika jamii.
Wote nadhani tunamjua Mchungaji vile ambavyo amekua akiingia kwenye sintofahamu na watu mbalimbali hasa katika jamii kupitia aina ya mahubiri katika kanisa lake kupitia principle yake ya 'ONE TOUCH DOUBLE MANIFESTATION' ambayo kipindi cha nyuma ameitumia sana kuwalipua watu mbalimbali.
Tujaribu kutafakari yafuatayo;
-Je hili linaweza likawa ni tukio la kulipiza kisasi?
-Je inawezekana limefanyika chini ya uangalizi wa mtutu wa bunduki?
-Je yule dada katika video, alitoa sharti la kutoonekana sura yake katika ile video ili waweze kufanikisha zoezi.?
-Ukimya wa Mhusika katika ile video ni ishara kwamba ame adhere na yale yaliyotokea na anatafakari nini cha kuja kutuambia? Au anasubiri jumapili kanisani?
Au amepigwa marufuku kusema chochote mpaka pale asilimia kubwa ya wa Tz watakapokua wamekua well informed na hii habari? Au tutegemee press ya mchungaji hivi karibuni ?
Au yawezekana mchungaji hayupo uraiani kwa sasa?
NB: Mchungaji ni mtu kama watu wengine. Inawezekana pia hili tukio kutokea huku akiwa na utashi wake kabisa bila kuwa na any motives behind.