Mtazamo: Poor handling ya COVID-19 katika nchi fulani inaweza kuja kupelekea anguko kubwa la chama tawala katika Taifa hilo

Mwaka huu wapiga kura tuanamkiwa, Yale matusi na kejeli hatuzisikii tena, corona imewatibulia SGR, na Sligler hawana cha kujisifia,hwa MATAGA wapuuzi

Hawa wahuni Walisema wamejenga vituo vya afya kila wilaya lakini wameshindwa kuwa na maabara ya kupima korona kila wilaya

Hawa matapeli Walisema wana reserve ya kuhudumia nchi kwa miezi 6, Korona inakaribia kuwaumbua. Lakini wanaogopa lockdown ya mwezi mmoja tu
mbona ujenzi unaendelea
 
Hawa NYUMBU sio kwamba wana mapenzi sana na Watanzania.

Lengo lao ni vurugu tu itokee, kwani wanajua hali za Watanzania wengi hatuna uwezo wa kukaa ndani siku mbili bila kutoka nje kutafuta riziki.
 
Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo.

Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane wanapambana ila kiuweli hawako seriuos kiasi cha kuridhisha kwani kuna hatua muhimu wanapaswa kuzichukua ila wanaonekana kuzikwepa.

Ukifuatilia kwa makini, utagundua kuna mambo makuu kama matatu hivi yanapelekea wahusika kukwepa kuchukua hatua sahihi:

Dini
Katika hili la dini,inaonekana viongozi katika Taifa hilo wanaogopa kuwaudhi viongozi wa dini pale watakapokataza ibada kuendelea kwani hata viongozi wa dini katika Taifa hilo nao wanaonekana interest yao kubwa ni kulinda nasilahi yao fulani fulani na sio afya wala usalama wa waumini wao.

Kwakuwa viongozi hao wa dini wana waumini wengi nyuma yao,hivyo ni bora kutowaudhi na badala yake inaonekana ni bora kuwakumbatia ili nao wao wawe upande wa watawala ambao ni wanasiasa wanaotafuta kura.

Uchumi
Uchumi kwa maana ya mapato katika nchi hiyo kunaonekana kupewa kipaumbele kikubwa sana ka kiasi kwamba wanahofia kuporomosha mapato iwapo watachukua hatua sahihi za kudhibiti ugonjwa huu hivyo kwao mapato ni bora kuliko afya za watu wao.

Siasa
Siasa nayo inaonekana kupewa kipaumbele kuliko kuangalia wenzao katika nchi zingine wanachukua hatua gani kudhibiti gonjwa hili..

Hali hii msingi wake mkuu ni watu(wapiga kura) ambao wanaweza kuchukizwa na maamuzi ya watawala iwapo watawala watachukua maamuzi magumu katika kupambana na ugonjwa huu, maamuzi ambayo bila shaka yataathiri wananchi walio wengi katika Taifa hili hivyo wakubwa hao wameogopa ku-risk kwa kuchukua maamuzi hayo yanayoweza kuwagharimu kisiasa.

Hitimisho
Hata hivyo,japo watawala katika Taifa hilo wanasita kuchukua baadhi ya hatua sahihi ili kukwepa mambo hayo niliyoyataja hapo juu likiwemo swala la kuwaudhi wapiga kura wao,ni wananchi hao hao wanaoweza kuja kuwageuka na kuanza kuwalaumu na pengne kuwakataa kwa hoja wao ndio chanzo cha watu wengi kuathirika na huu ugonjwa iwapo kutakuja kutokea yanayotokea katika nchi za wenzetu ambako idadi ya vifo ni kubwa na ya kutisha.

Na hali hii itakuwa mbaya na ya hatari kwa watawala hao iwapo hali katika mataifa mengine (mataifa ambayo sasa watawala wake wanafanya maamuzi magumu) itakuwa shwari huku katika Taifa hilo hali ikiwa n i tete.

Hivyo,Watawa katika Taifa hilo waache kupambana zaidi vita ya maneno dhidi ya COVID-19 bali waingie katika uwanja wa mapambano kupambana katika vita halisi vinginevyo ipo siku hii poor handling ya vita dhidi ya COVID-19 inaweza kuja kuwagharimu afya zao mbali na nafasi zao za kisiasa.
Mambo yao waachie wenyewe

Wewe fanya yako
 
Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo.

Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane wanapambana ila kiuweli hawako seriuos kiasi cha kuridhisha kwani kuna hatua muhimu wanapaswa kuzichukua ila wanaonekana kuzikwepa.

Ukifuatilia kwa makini, utagundua kuna mambo makuu kama matatu hivi yanapelekea wahusika kukwepa kuchukua hatua sahihi:

Dini
Katika hili la dini,inaonekana viongozi katika Taifa hilo wanaogopa kuwaudhi viongozi wa dini pale watakapokataza ibada kuendelea kwani hata viongozi wa dini katika Taifa hilo nao wanaonekana interest yao kubwa ni kulinda nasilahi yao fulani fulani na sio afya wala usalama wa waumini wao.

Kwakuwa viongozi hao wa dini wana waumini wengi nyuma yao,hivyo ni bora kutowaudhi na badala yake inaonekana ni bora kuwakumbatia ili nao wao wawe upande wa watawala ambao ni wanasiasa wanaotafuta kura.

Uchumi
Uchumi kwa maana ya mapato katika nchi hiyo kunaonekana kupewa kipaumbele kikubwa sana ka kiasi kwamba wanahofia kuporomosha mapato iwapo watachukua hatua sahihi za kudhibiti ugonjwa huu hivyo kwao mapato ni bora kuliko afya za watu wao.

Siasa
Siasa nayo inaonekana kupewa kipaumbele kuliko kuangalia wenzao katika nchi zingine wanachukua hatua gani kudhibiti gonjwa hili..

Hali hii msingi wake mkuu ni watu(wapiga kura) ambao wanaweza kuchukizwa na maamuzi ya watawala iwapo watawala watachukua maamuzi magumu katika kupambana na ugonjwa huu, maamuzi ambayo bila shaka yataathiri wananchi walio wengi katika Taifa hili hivyo wakubwa hao wameogopa ku-risk kwa kuchukua maamuzi hayo yanayoweza kuwagharimu kisiasa.

Hitimisho
Hata hivyo,japo watawala katika Taifa hilo wanasita kuchukua baadhi ya hatua sahihi ili kukwepa mambo hayo niliyoyataja hapo juu likiwemo swala la kuwaudhi wapiga kura wao,ni wananchi hao hao wanaoweza kuja kuwageuka na kuanza kuwalaumu na pengne kuwakataa kwa hoja wao ndio chanzo cha watu wengi kuathirika na huu ugonjwa iwapo kutakuja kutokea yanayotokea katika nchi za wenzetu ambako idadi ya vifo ni kubwa na ya kutisha.

Na hali hii itakuwa mbaya na ya hatari kwa watawala hao iwapo hali katika mataifa mengine (mataifa ambayo sasa watawala wake wanafanya maamuzi magumu) itakuwa shwari huku katika Taifa hilo hali ikiwa n i tete.

Hivyo,Watawa katika Taifa hilo waache kupambana zaidi vita ya maneno dhidi ya COVID-19 bali waingie katika uwanja wa mapambano kupambana katika vita halisi vinginevyo ipo siku hii poor handling ya vita dhidi ya COVID-19 inaweza kuja kuwagharimu afya zao mbali na nafasi zao za kisiasa.

Viongozi wa dini wanachukua hatua katika maeneo yao ya ibada kwa kuweka umbali wa mita moja kati ya waumini.

Pia kwenye uchumi baadhi ya mahoteli na migahawa tayari kuna athari zimeanza kujitokeza kutokanana wananchi kuanza kuitikia wito wa wizara ya afya wa kukaa nyumbani.

Kwenye michezo na sekta kama usafiri tayari watu wameshauriwa kusimamisha shughuli zao hivyo kuathiri sehemu hizo.

Kwenye siasa nadhani wewe na wenzio mpo busy kufatuta cha kuhadaa wananchi.


Hakuna siasa kwenye kupambana na COVID -19

No research no right to speak.
 
Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo.

Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane wanapambana ila kiuweli hawako seriuos kiasi cha kuridhisha kwani kuna hatua muhimu wanapaswa kuzichukua ila wanaonekana kuzikwepa.

Ukifuatilia kwa makini, utagundua kuna mambo makuu kama matatu hivi yanapelekea wahusika kukwepa kuchukua hatua sahihi:

Dini
Katika hili la dini,inaonekana viongozi katika Taifa hilo wanaogopa kuwaudhi viongozi wa dini pale watakapokataza ibada kuendelea kwani hata viongozi wa dini katika Taifa hilo nao wanaonekana interest yao kubwa ni kulinda nasilahi yao fulani fulani na sio afya wala usalama wa waumini wao.

Kwakuwa viongozi hao wa dini wana waumini wengi nyuma yao,hivyo ni bora kutowaudhi na badala yake inaonekana ni bora kuwakumbatia ili nao wao wawe upande wa watawala ambao ni wanasiasa wanaotafuta kura.

Uchumi
Uchumi kwa maana ya mapato katika nchi hiyo kunaonekana kupewa kipaumbele kikubwa sana ka kiasi kwamba wanahofia kuporomosha mapato iwapo watachukua hatua sahihi za kudhibiti ugonjwa huu hivyo kwao mapato ni bora kuliko afya za watu wao.

Siasa
Siasa nayo inaonekana kupewa kipaumbele kuliko kuangalia wenzao katika nchi zingine wanachukua hatua gani kudhibiti gonjwa hili..

Hali hii msingi wake mkuu ni watu(wapiga kura) ambao wanaweza kuchukizwa na maamuzi ya watawala iwapo watawala watachukua maamuzi magumu katika kupambana na ugonjwa huu, maamuzi ambayo bila shaka yataathiri wananchi walio wengi katika Taifa hili hivyo wakubwa hao wameogopa ku-risk kwa kuchukua maamuzi hayo yanayoweza kuwagharimu kisiasa.

Hitimisho
Hata hivyo,japo watawala katika Taifa hilo wanasita kuchukua baadhi ya hatua sahihi ili kukwepa mambo hayo niliyoyataja hapo juu likiwemo swala la kuwaudhi wapiga kura wao,ni wananchi hao hao wanaoweza kuja kuwageuka na kuanza kuwalaumu na pengne kuwakataa kwa hoja wao ndio chanzo cha watu wengi kuathirika na huu ugonjwa iwapo kutakuja kutokea yanayotokea katika nchi za wenzetu ambako idadi ya vifo ni kubwa na ya kutisha.

Na hali hii itakuwa mbaya na ya hatari kwa watawala hao iwapo hali katika mataifa mengine (mataifa ambayo sasa watawala wake wanafanya maamuzi magumu) itakuwa shwari huku katika Taifa hilo hali ikiwa n i tete.

Hivyo,Watawa katika Taifa hilo waache kupambana zaidi vita ya maneno dhidi ya COVID-19 bali waingie katika uwanja wa mapambano kupambana katika vita halisi vinginevyo ipo siku hii poor handling ya vita dhidi ya COVID-19 inaweza kuja kuwagharimu afya zao mbali na nafasi zao za kisiasa.

Kwanza nikupongeze kwa kukosa kazi na kuandika pumba ndefu Hivi. Lakini mwambie Mbowe awaambie wanachama wa CHadema Demokrasia na Maendeleo wajilock down. Itakuwa the best „tutawatambua kwa matunda yao results“ ambayo haijawahi tokea. Please.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hivi unafamilia? kama unayowalock mwenyewe maana suala LA afya linaanzia home.....
 
Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo.

Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane wanapambana ila kiuweli hawako seriuos kiasi cha kuridhisha kwani kuna hatua muhimu wanapaswa kuzichukua ila wanaonekana kuzikwepa.

Ukifuatilia kwa makini, utagundua kuna mambo makuu kama matatu hivi yanapelekea wahusika kukwepa kuchukua hatua sahihi:

Dini
Katika hili la dini,inaonekana viongozi katika Taifa hilo wanaogopa kuwaudhi viongozi wa dini pale watakapokataza ibada kuendelea kwani hata viongozi wa dini katika Taifa hilo nao wanaonekana interest yao kubwa ni kulinda nasilahi yao fulani fulani na sio afya wala usalama wa waumini wao.

Kwakuwa viongozi hao wa dini wana waumini wengi nyuma yao,hivyo ni bora kutowaudhi na badala yake inaonekana ni bora kuwakumbatia ili nao wao wawe upande wa watawala ambao ni wanasiasa wanaotafuta kura.

Uchumi
Uchumi kwa maana ya mapato katika nchi hiyo kunaonekana kupewa kipaumbele kikubwa sana ka kiasi kwamba wanahofia kuporomosha mapato iwapo watachukua hatua sahihi za kudhibiti ugonjwa huu hivyo kwao mapato ni bora kuliko afya za watu wao.

Siasa
Siasa nayo inaonekana kupewa kipaumbele kuliko kuangalia wenzao katika nchi zingine wanachukua hatua gani kudhibiti gonjwa hili..

Hali hii msingi wake mkuu ni watu(wapiga kura) ambao wanaweza kuchukizwa na maamuzi ya watawala iwapo watawala watachukua maamuzi magumu katika kupambana na ugonjwa huu, maamuzi ambayo bila shaka yataathiri wananchi walio wengi katika Taifa hili hivyo wakubwa hao wameogopa ku-risk kwa kuchukua maamuzi hayo yanayoweza kuwagharimu kisiasa.

Hitimisho
Hata hivyo,japo watawala katika Taifa hilo wanasita kuchukua baadhi ya hatua sahihi ili kukwepa mambo hayo niliyoyataja hapo juu likiwemo swala la kuwaudhi wapiga kura wao,ni wananchi hao hao wanaoweza kuja kuwageuka na kuanza kuwalaumu na pengne kuwakataa kwa hoja wao ndio chanzo cha watu wengi kuathirika na huu ugonjwa iwapo kutakuja kutokea yanayotokea katika nchi za wenzetu ambako idadi ya vifo ni kubwa na ya kutisha.

Na hali hii itakuwa mbaya na ya hatari kwa watawala hao iwapo hali katika mataifa mengine (mataifa ambayo sasa watawala wake wanafanya maamuzi magumu) itakuwa shwari huku katika Taifa hilo hali ikiwa n i tete.

Hivyo,Watawa katika Taifa hilo waache kupambana zaidi vita ya maneno dhidi ya COVID-19 bali waingie katika uwanja wa mapambano kupambana katika vita halisi vinginevyo ipo siku hii poor handling ya vita dhidi ya COVID-19 inaweza kuja kuwagharimu afya zao mbali na nafasi zao za kisiasa.
Unawaonea huruma au unafurahia ?!?!
 
Ndugu yangu, zuia familia yako isitoke nje mbona simple tuu, kwani ukijilockdown nani atakubugudhi? Kaa ndani na familia yako, ili uiepushe familia yako na korona.
 
Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo.

Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane wanapambana ila kiuweli hawako seriuos kiasi cha kuridhisha kwani kuna hatua muhimu wanapaswa kuzichukua ila wanaonekana kuzikwepa.

Ukifuatilia kwa makini, utagundua kuna mambo makuu kama matatu hivi yanapelekea wahusika kukwepa kuchukua hatua sahihi:

Dini
Katika hili la dini,inaonekana viongozi katika Taifa hilo wanaogopa kuwaudhi viongozi wa dini pale watakapokataza ibada kuendelea kwani hata viongozi wa dini katika Taifa hilo nao wanaonekana interest yao kubwa ni kulinda nasilahi yao fulani fulani na sio afya wala usalama wa waumini wao.

Kwakuwa viongozi hao wa dini wana waumini wengi nyuma yao,hivyo ni bora kutowaudhi na badala yake inaonekana ni bora kuwakumbatia ili nao wao wawe upande wa watawala ambao ni wanasiasa wanaotafuta kura.

Uchumi
Uchumi kwa maana ya mapato katika nchi hiyo kunaonekana kupewa kipaumbele kikubwa sana ka kiasi kwamba wanahofia kuporomosha mapato iwapo watachukua hatua sahihi za kudhibiti ugonjwa huu hivyo kwao mapato ni bora kuliko afya za watu wao.

Siasa
Siasa nayo inaonekana kupewa kipaumbele kuliko kuangalia wenzao katika nchi zingine wanachukua hatua gani kudhibiti gonjwa hili..

Hali hii msingi wake mkuu ni watu(wapiga kura) ambao wanaweza kuchukizwa na maamuzi ya watawala iwapo watawala watachukua maamuzi magumu katika kupambana na ugonjwa huu, maamuzi ambayo bila shaka yataathiri wananchi walio wengi katika Taifa hili hivyo wakubwa hao wameogopa ku-risk kwa kuchukua maamuzi hayo yanayoweza kuwagharimu kisiasa.

Hitimisho
Hata hivyo,japo watawala katika Taifa hilo wanasita kuchukua baadhi ya hatua sahihi ili kukwepa mambo hayo niliyoyataja hapo juu likiwemo swala la kuwaudhi wapiga kura wao,ni wananchi hao hao wanaoweza kuja kuwageuka na kuanza kuwalaumu na pengne kuwakataa kwa hoja wao ndio chanzo cha watu wengi kuathirika na huu ugonjwa iwapo kutakuja kutokea yanayotokea katika nchi za wenzetu ambako idadi ya vifo ni kubwa na ya kutisha.

Na hali hii itakuwa mbaya na ya hatari kwa watawala hao iwapo hali katika mataifa mengine (mataifa ambayo sasa watawala wake wanafanya maamuzi magumu) itakuwa shwari huku katika Taifa hilo hali ikiwa n i tete.

Hivyo,Watawa katika Taifa hilo waache kupambana zaidi vita ya maneno dhidi ya COVID-19 bali waingie katika uwanja wa mapambano kupambana katika vita halisi vinginevyo ipo siku hii poor handling ya vita dhidi ya COVID-19 inaweza kuja kuwagharimu afya zao mbali na nafasi zao za kisiasa.
Utabiri unaenda kutimia
 
Salary Slip,

Acha watanzania wachape kazi ila wewe unaruhusiwa kukaa ndani mpaka ugonjwa wa corona uishe sasa hapo kuna shida gani. Unataka tukae ndani kwani sisi ni wazungu.
Siku hizi huonekani, njoo tena na maneno yako ya kipuuzi. Njoo tena uulize mitaani kwenu wamekufa wangapi?
 
Back
Top Bottom