Mh....! aseee🙏kwa hiyo Doto na magufuli ni DNA moja
Natangu lini duniani kukawa na haki?tunajipa tu matumaini eti Kuna siku tutafanana...mmh labda mbinguni,na hata huko aliyekula kala.angalau analo la kuhadithia.Daah. Tz kuna mambo mengi ya kufanya, basi hakuna shida mtoto wa Dada aendelee kuidhinishi mapesa ya kumpa anko atoe anaposimama kwenye majukwaa likibuma watafanya kama walivyofanya wenzake.
Well said mkuuNatangu lini duniani kukawa na haki?tunajipa tu matumaini eti Kuna siku tutafanana...mmh labda mbinguni,na hata huko aliyekula kala.angalau analo la kuhadithia.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Endelea kuota ndoto..angalia tu usije ota umekuwa na mapembe kichwani.Mtoto wa Dada, yeye kumwaga cash tu kwa amri za kiongozi wa malaika bila documents zozote. Malaika kiongozi anakinga Ila yeye hana. Bahati mbaya akichota pesa ili kugawa arama za vidole vyake vinabaki milele na milele. Mtoto wa Dada kazi unayo baada ya 2025. Na wanakijani walivyokeleka hawataruhusu hata kidogo mpambe wa malaika kiongozi kushika hatamu 2025 kama mzee wa msoga alivyofanyiwa 2015 hadi mnazi ukaokotwa kwenye muembeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi code nimeshindwa kuzifungua. Ila naendelea kusoma komenti kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unataka kusema nawao watakuwa wanyonge,maana wao si dhaifu ni imara,ila sisi ni wananchi wanyonge.Na wakati huo ukifika,bwana yule atakuwa anatazama tu kwenye tv wanavyopandishwa kwenye karandinga huku hana la kufanya.
......