Green Ephraim
New Member
- Jun 8, 2017
- 2
- 0
Ni kweli kabisa kutangaza habari hii co kwani mnawapa hawa jamaa kuendelea kusumbua na kutafuta umaarufu kupitia uharifu huo nami napenda mambo yaende kimya kimya hapo wataona kama wamepuuzwa na wataachana na unyama wao