Wakuu kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kupambana na covid 19 hakika kama ingekuwa ni janga basi Watanzania tungekwisha tupukutike!

Shughuli zingine zote zinaendelea, shule na vyuo tu ndio vimesimama, sioni ulazima wa vyuo na shule kufungwa kwa kuepuka corona kama janga kwa nchi yetu

Corona ipo kwaajili ya wazungu huko ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe
Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi
Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima...haiwezekani

PM Majaliwa tunaomba usiongeze muda wa kufunga shule na vyuo, watoto warudi kusoma kuanzia tarehe 17 April
"It's not a issue of comfort and covinience but it's issue of life and Death" M7 jana wakati anaulizwa lini shule zitafunguliwa nchini Uganda....... plz tafakari hiyo nuku ya huyu kiongozi wa Uganda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida inayokuja katika hili, wametoka kukusanyikia Shuleni/Vyuoni wamekusanyikia Mtaani/kwenye masoko.

Yaani mpaka Kuna wakati unasema sijui kwa nchi yetu kusalia shuleni ni Bora zaidi kuliko nyumbani. Ni Kama shuleni ni safe zaidi kuliko nyumbani.

Hawa Watoto wamekuwa ndo wauzaji wa magenge. Kumbe kwa Tanzania shule inatoa ulinzi mzuri kwa Watoto kuliko familia nyingi.

Anyway, Corona ni hatari lakini inazuilika. Chukua tahadhari!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie watu in wapuuzi sana,kwanza ndo wiki ya pili ,sasa kwa hii hoja yako wakati wa likizo huwa mnafanya nini na watoto wenu? Eti wanakusanyika Mara wanauza magenge,likizo huwa wanauza nini?
Shida inayokuja katika hili, wametoka kukusanyikia Shuleni/Vyuoni wamekusanyikia Mtaani/kwenye masoko.

Yaani mpaka Kuna wakati unasema sijui kwa nchi yetu kusalia shuleni ni Bora zaidi kuliko nyumbani. Ni Kama shuleni ni safe zaidi kuliko nyumbani.

Hawa Watoto wamekuwa ndo wauzaji wa magenge. Kumbe kwa Tanzania shule inatoa ulinzi mzuri kwa Watoto kuliko familia nyingi.

Anyway, Corona ni hatari lakini inazuilika. Chukua tahadhari!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda mwingine tunahitaji akili ya ziada au ufatiliaji ili kuweza kujua mambo mengine yanayoendelea dunian mbali na Corona. Tatizo Corona imeteka vichwa vya habari duniani ndio maana hatuoni mengine yanayoendelea. Ugaidi upo bado, juzi kati mkoa mmoja nchini Msumbiji ambao uko maeneo ya karibu na mpakani na Tanzania walishambuliwa na magaidi.

ᴱᵛⁱᵗᵉᶻ ˡᵉˢ ʳᵃˢˢᵉᵐᵇˡᵉᵐᵉⁿᵗˢ ⁱⁿᵘᵗⁱˡᵉˢ ᵉⁿ ᵒᵈʳᵉ ᵖᵒᵘʳ ᵃʳʳᵉᵗᵉʳ ˡᵃ ᵖʳᵒᵖᵃᵍᵃᵗⁱᵒⁿ ᵈᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ¹⁹
 
Wakuu kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kupambana na covid 19 hakika kama ingekuwa ni janga basi Watanzania tungekwisha tupukutike!

Shughuli zingine zote zinaendelea, shule na vyuo tu ndio vimesimama, sioni ulazima wa vyuo na shule kufungwa kwa kuepuka corona kama janga kwa nchi yetu

Corona ipo kwaajili ya wazungu huko ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe
Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi
Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima...haiwezekani

PM Majaliwa tunaomba usiongeze muda wa kufunga shule na vyuo, watoto warudi kusoma kuanzia tarehe 17 April
Mkuu usiishauri serikali ujinga Yani wanafunzi walivyotapakaa nchi nzima ukiwakusanya kwenye mashule itakuwa nisawa na kufungulia mtungi wa gesi halafu uulipue kwa kiberiti nawewe ukiwa ndani ya nyumba.
 
Nyie watu in wapuuzi sana,kwanza ndo wiki ya pili ,sasa kwa hii hoja yako wakati wa likizo huwa mnafanya nini na watoto wenu? Eti wanakusanyika Mara wanauza magenge,likizo huwa wanauza nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Likizo huwa wanauza magenge, wanaenda tution na kukusanyika. Maana yake ni kwamba yale Mazoea yanaendelea mtaani.

Kumbuka Mkuu digba sowey kwa Sasa hali si kama ya likizo za wakati wote. Lazima tuwe na tahadhari zaidi. Ndo maana naiona nafasi ya Shule kuwa bora zaidi na uhalisia uliofikiriwa.

Hadi kufunga shule dhana kuu ilikuwa Watoto wakae nyumbani Kama njia ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi kwa sababu ya muingiliano Mkubwa shuleni.

Lakn kinachoonekana Watoto bado wako exposed kwenye mikusanyiko huku mtaani. Logic imejikita hapo kaka.


Lakn kama akili yako umeamua kuitunza makalioni na ukatype ukiwa umeikalia, then kichwani ukabakiza matusi, naamini huwezi kuelewa hiki tunachozungumza hapa.

Pole kwa kupanic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie watu in wapuuzi sana,kwanza ndo wiki ya pili ,sasa kwa hii hoja yako wakati wa likizo huwa mnafanya nini na watoto wenu? Eti wanakusanyika Mara wanauza magenge,likizo huwa wanauza nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Likizo huwa wanauza magenge, wanaenda tution na kukusanyika. Maana yake ni kwamba yale Mazoea yanaendelea mtaani.

Kumbuka Mkuu digba sowey kwa Sasa hali si kama ya likizo za wakati wote. Lazima tuwe na tahadhari zaidi. Ndo maana naiona nafasi ya Shule kuwa bora zaidi na uhalisia uliofikiriwa.

Hadi kufunga shule dhana kuu ilikuwa Watoto wakae nyumbani Kama njia ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi kwa sababu ya muingiliano Mkubwa shuleni.

Lakn kinachoonekana Watoto bado wako exposed kwenye mikusanyiko huku mtaani. Logic imejikita hapo kaka.


Lakn kama akili yako umeamua kuitunza makalioni na ukatype ukiwa umeikalia, then kichwani ukabakiza matusi, naamini huwezi kuelewa hiki tunachozungumza hapa.

Pole kwa kupanic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisamehe mkuu kama nimekukwaza,bat hebu jiulize mtoto ulomzaa wewe unashindwa kumdhibiti vipi kwa mwalimu ataweza kweli kufuata maagizo yake?

Pili kumbuka kuwa wakati serikali inaamuru shule zifungwe tulikuwa na kesi moja,hivi inaingia akili kweli kufungua shule ilikhali visa vya ugonjwa vibazidi kuongeza ka?

Tatu ujue baada ya shule kufungwa kuna watoto walisafiri toka mjini kwenda vijijini na kinyume chake ,sasa huoni kuwa kurudusha watoto shuleni itapelekea kuongezeka kwa visa vya ugonjwa?

Mwisho nyumbani ndo salama zaidi kwa mtoto katika hali tuliyonayo,hivyo acheni watoto watulie majumbani hadi hapo serikali itakapotangaza vingine lakini pia acheni ujuaji serikali inawashauli wake wanaoishauli mambo yakiwa sawa hamtaona tena kama ilivyo
Likizo huwa wanauza magenge, wanaenda tution na kukusanyika. Maana yake ni kwamba yale Mazoea yanaendelea mtaani.

Kumbuka Mkuu digba sowey kwa Sasa hali si kama ya likizo za wakati wote. Lazima tuwe na tahadhari zaidi. Ndo maana naiona nafasi ya Shule kuwa bora zaidi na uhalisia uliofikiriwa.

Hadi kufunga shule dhana kuu ilikuwa Watoto wakae nyumbani Kama njia ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi kwa sababu ya muingiliano Mkubwa shuleni.

Lakn kinachoonekana Watoto bado wako exposed kwenye mikusanyiko huku mtaani. Logic imejikita hapo kaka.


Lakn kama akili yako umeamua kuitunza makalioni na ukatype ukiwa umeikalia, then kichwani ukabakiza matusi, naamini huwezi kuelewa hiki tunachozungumza hapa.

Pole kwa kupanic.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna analyst nilikuwa namsikiliza leo anasema itachukua miezi 18 Corona kuisha!
So tegemeeni kukaa na hao watoto majumbani kwa miezi mingine 15 iwapo serikali itaamua kusubiri Corona!
 
Back
Top Bottom