tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,670
- 19,183
Mkuu nimekusoma one8 ilikua enzi zile kiba yuko juu sio sasa hivi
Ulisema domo kutoa nyimbo 8 kiba nae anaweza bt kiba kwasasa anaishi kwa kusaidiwa backup y insta plus wema.......huoni hpo anajimaliza 2 wakti kipaji anacho yeye ndio anatimu maandazi,kutoa nyimbo nyingi ni kipaji hata radio n weasel kwa mwaka wanatoa nyimbo kibao nazinahit mbaya
Mkuu nimekusoma one8 ilikua enzi zile kiba yuko juu sio sasa hivi
One 8 walikuwepo hadi wakina Amani na Navio, sahivi who are they?