finn miles
Senior Member
- Dec 24, 2020
- 126
- 191
Nisahihi kabisa. Serikali navyama vyasiasa inajambo kubwa lakujifunza kupitia hili.Tukubali tukatae Sumu aliyoacha amepandikiza mwendazake ndiyo inayolitafuna taifa kwa Sasa kuhusiana na mtazamo hasi juu ya chanjo ya Korona. Kila mtu anakumbuka jinsi Magufuli alivyokuwaga na ushawishi.
Hivyo Msimamo wake juu ya chanjo ya Korona kabla ya kifo chake umebaki mioyoni na akilini mwa watu kiasi kwamba hadi leo asilimia kubwa ya Watanzania hawana Imani na chanjo hizi.
Watakiwa kuwa makini Sana kwenye kuwapa watu waaina ya magu na kinagwaijima nafasi Kamaza urais ubunge au udiwani. Watu waaina hii wanaweza kuleta madhara makubwa sana kwenye jamii naserikali.
Hakuna dawa au chanjo ambayo ina zero side effects, hata dawa za uzazi wampango zinamadhara yake lakin kma nchi tutaamua kutofata mambo yauzazi wa mpango madhara yatakua nimakubwa zaid. Aina hii ya watu wanaweza kuliasababishia taifa madahara makubwa kwa muda mrefu sana