Tukubali tukatae Sumu aliyoacha amepandikiza mwendazake ndiyo inayolitafuna taifa kwa Sasa kuhusiana na mtazamo hasi juu ya chanjo ya Korona. Kila mtu anakumbuka jinsi Magufuli alivyokuwaga na ushawishi.
Hivyo Msimamo wake juu ya chanjo ya Korona kabla ya kifo chake umebaki mioyoni na akilini mwa watu kiasi kwamba hadi leo asilimia kubwa ya Watanzania hawana Imani na chanjo hizi.
Hivyo Msimamo wake juu ya chanjo ya Korona kabla ya kifo chake umebaki mioyoni na akilini mwa watu kiasi kwamba hadi leo asilimia kubwa ya Watanzania hawana Imani na chanjo hizi.