Mtazamo binafsi

Kama kuna kijana yuko 'idle' na yuko siriazi kwenye utafutaji tupitie huu uzi:-
 
Siku hizi wapo wengi wengine wanatia huruma kukosa mwanaume nadhani hizi ndoa za polygamy zingekuwa ni za lazima na za kisheria

Kama vile mfalme mswati alivyofanya huko Swaziland mke mmoja bila kuongeza unaenda jela yule jamaa ana akili anajua tulivyoumbwa na nature yetu sijui jiwe anakwama wapi hiyo sheria hajaileta nchini

Lazima niamie Swaziland
 
Siku hizi wapo wengi wengine wanatia huruma kukosa mwanaume nadhani hizi ndoa za polygamy zingekuwa ni za lazima na za kisheria

Kama vile mfalme mswati alivyofanya huko Swaziland mke mmoja bila kuongeza unaenda jela yule jamaa ana akili anajua tulivyoumbwa na nature yetu sijui jiwe anakwama wapi hiyo sheria hajaileta nchini

Lazima niamie Swaziland

Unaona akili za kimalaya hizi?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom