Mtazamo binafsi

Hahahaha,, umenena vyema mkuu barikiwa sana kuna mmoja rafiki yangu single maza amezaa watoto wawili kila mtoto na baba yake sasa niliwai kuomba mzigo kitambo sema gafla nikaamia mkoa mwingine kikazi sasa tumekutana mjini nikamwomba mzigo amekaza tena eti ananiambia nasubili mme wangu wa ndoa sitaki mme wa mtu nikajisemea kimoyomoyo utasubiri sana yani na watoto wako wawili mwanaume gani atakubali afunge ndoa na watoto wote tena baba wawili tofauti nikasema anyway ngoja tusubili naona juzi kanitafuta anasema nimtafutie mme
Duniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
 
Hahahaha,, umenena vyema mkuu barikiwa sana kuna mmoja rafiki yangu single maza amezaa watoto wawili kila mtoto na baba yake sasa niliwai kuomba mzigo kitambo sema gafla nikaamia mkoa mwingine kikazi sasa tumekutana mjini nikamwomba mzigo amekaza tena eti ananiambia nasubili mme wangu wa ndoa sitaki mme wa mtu nikajisemea kimoyomoyo utasubiri sana yani na watoto wako wawili mwanaume gani atakubali afunge ndoa na watoto wote tena baba wawili tofauti nikasema anyway ngoja tusubili naona juzi kanitafuta anasema nimtafutie mme
ha ha ha mkuu nenda kapewe majukumu...
 
Duniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
Mkuu kuna mambo mengi mno ya ku discuss ila sio unalolisema
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom