Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 28,811
- 39,019
- Thread starter
- #41
ha ha ha kwa nini mkuu?sithubutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha kwa nini mkuu?sithubutu
Duniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
ha ha ha mkuu nenda kapewe majukumu...Hahahaha,, umenena vyema mkuu barikiwa sana kuna mmoja rafiki yangu single maza amezaa watoto wawili kila mtoto na baba yake sasa niliwai kuomba mzigo kitambo sema gafla nikaamia mkoa mwingine kikazi sasa tumekutana mjini nikamwomba mzigo amekaza tena eti ananiambia nasubili mme wangu wa ndoa sitaki mme wa mtu nikajisemea kimoyomoyo utasubiri sana yani na watoto wako wawili mwanaume gani atakubali afunge ndoa na watoto wote tena baba wawili tofauti nikasema anyway ngoja tusubili naona juzi kanitafuta anasema nimtafutie mme
One of the best comments🤝🤝Hakuna mwanamke aliye singo labda atake yeye, lakini sio kusema hakuna wanaume .
Yaani wahusika wametulia ila mashabiki wanaumiaMbona hili suala la wadada walio single linawaumiza watu wengine kuliko wahusika wenyewe?
Tunawahurumia...Yaani wahusika wametulia ila mashabiki wanaumia
Nitumie PM hiyo glasiha ha ha mkuu nakusalimia,karibu upate glass angalau ya maziwa fresh...
Ahsante nilitaka kuthibitisha tukumbe, jibu unalo mkuu
NimeshakutumiaNitumie PM hiyo glasi
Mashabiki mnateseka.Tunawahurumia...
Mkuu kuna mambo mengi mno ya ku discuss ila sio unalolisemaDuniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
Yalete hayo mkuu tuya-discussMkuu kuna mambo mengi mno ya ku discuss ila sio unalolisema
ha ha ha ha na ni kweli...hela inamfanya mtu kuwa HBBila hela nyege hatuna
ha ha ha ha kuna ukweli lakini?Mashabiki mnateseka.
Sisi wala hatuna shida mkuu
Kwani uongo?ha ha ha ha kuna ukweli lakini?
Najua unateseka sana...inayothibitisha hivyo ni nafsi yakoKwani uongo?
Niteseke kwa lipi boss.?Najua unateseka sana...inayothibitisha hivyo ni nafsi yako
Ha ha ha ha najua ipo siku utasema ukweliNiteseke kwa lipi boss.?
Assumptions zako ni 100% wrong