Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Nikijaribu kuangali idadi ya wanaoshitakiwa kwa makosa ya uchochezi alafu nikilinganisha na wale wanaoshitakiwa kwa makosa makubwa ya ufisadi,nashawashika muamini ni bora wangeanziha mahakama maalumu ya makosa ya uchochezi na si ufisadi kama walivyofanya.
Katika mahakama hii ya mafisadi sijui kama kuna mtu hata mmoja ambae mpaka sasa ameshashitakiwa kwa ufisadi (grand corruption) lakini orodha ya wanaoshitakiwa kwa uchochezi mpaka sasa hakika inajitosheleza na pengine ni wakati muafaka sasa tukawa na mahakamu maalumu ya kushugulikia makosa haya ya uchochezi.
Tafsiri ya hali hii ni kuwa kwa sasa tatizo letu kubwa ni "uchochezi" na wala si ufisadi.
Ni mtazamo tu jamani na wala si uchochezi.
Katika mahakama hii ya mafisadi sijui kama kuna mtu hata mmoja ambae mpaka sasa ameshashitakiwa kwa ufisadi (grand corruption) lakini orodha ya wanaoshitakiwa kwa uchochezi mpaka sasa hakika inajitosheleza na pengine ni wakati muafaka sasa tukawa na mahakamu maalumu ya kushugulikia makosa haya ya uchochezi.
Tafsiri ya hali hii ni kuwa kwa sasa tatizo letu kubwa ni "uchochezi" na wala si ufisadi.
Ni mtazamo tu jamani na wala si uchochezi.