Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,023
- 9,285
Never let a politician
Grant you a favor
They will always want to
Control you forever
Grant you a favor
They will always want to
Control you forever
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakungoja shukrani ndio maana alikataa elfu 50.. Hujaelewa somo lake wewe uvccm usiye na akili kuchwaniTenda wema nenda zako mjomba usingoje shukuran
Mtatiro, kumsaidia mtu haina maana kwamba sasa ndiyo atakuwa mtumwa wako. Midhali yeye alipopata mkopo alikuja ofisini kwako kukushukuru tena akiwa amebeba elfu 50, na baadaye Hill Park akataka kulipia msosi na vinywaji, lkn kwa maadili yako ukakataa. Basi it is over between wewe na yeye.
Haina maana kuwa kwa kuwa ulimsaidia basi awe anakusujudia. Na kwa malalamiko haya msaada wako ni batili, huo siyo msaada. Maana mtoa msaada husahau. Wewe uliweka msaada benki ili siku ya siku upate riba ya kuabudiwa. Ni hayo tu mazee.
Ni mm mwanaUKAWA mwenzio.
Usikute nawe kuna watu wanakuheshimu kabisaUlikuwa unatimiza wajibu wako kama waziri mkuu.
Acha kulia kulia
Angalia mwenyewe maneno ya Mtatiro haya:-HAPANA!!
Nina hakika kwa 150% hujaielewa mantiki ya hoja ya Julius Mtatiro unless wewe ndiwe uwe huyo bwana aliyetolewa kama reference hapa...
Kama unabisha, jaribu kusoma tena na tena alichokiandika Bw Mtatiro, then linganisha na reaction yako utagundua kuwa, you are off the shore...!!
Kama alikataa elfu hamsini kwann analilia kupewa mkono wa salaam? Huoni kwamba alikataa elfu 50 ili riba/malipo yake ya "fadhila" yaongezeke?Hakungoja shukrani ndio maana alikataa elfu 50.. Hujaelewa somo lake wewe uvccm usiye na akili kuchwani
Nipinge nini kwa akili kama hizo c nitaonekana nami ni kichaa.Pinga hoja kwa kutoa hoja. Usijifiche nyuma ya masikitiko ya kinafiki.
Usikute wewe ndio huyo kijana !!!!??Ulikuwa unatimiza wajibu wako kama waziri mkuu.
Acha kulia kulia
Angalia mwenyewe maneno ya Mtatiro haya:-
"Kwamba kuwa DAS au CCM ndiko kumemfanya leo asahau kabisa kuwa kuna watu ana historia nao? Probably the next time I meet him, he will be a RC and will not look into my eyes"
Mtatiro alitaka kijana wa watu afungwe na historia ya kwamba aliwahi kusaidiwa na Mtatiro kwahiyo anyenyekee.
Kama alikataa elfu hamsini kwann analilia kupewa mkono wa salaam? Huoni kwamba alikataa elfu 50 ili riba/malipo yake ya "fadhila" yaongezeke?
Zingatia hapo, nimeiita "fadhila", maana fadhila haina riba wala malipo
Hilo ndo kubwa na maudhui ya andiko lake, watu wanakuja na nafsili chungu nzima, tatizo kila mtu na uelewa wake.Mtatiro alikuwa anatufundisha kuwa cheo ni dhamana.