Mtatiro: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais

Hizi degree za madesa bwana shida sana.Huyu unaemsifia alikuwepo kwenye Bunge maalum la katiba na kwa kushirikiana na wezi wenzake walifinyanga maoni ya watanzania yaliyolenga kuweka misingi Imara ya kiungozi na kiutawala.sasa mtu Mwingine anaibuka na degree yake ya kudesa bila hata kufikiria kidogo tu anatoa uharo

Ar u telling me, Mtatiro or Mwananchi......the guy has his contacts in the post..why don't you post that msg direct to him instead of quoting the whole post?
 
Back
Top Bottom