justus ndyanabo
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 444
- 378
duh walikuwa wanatuimbia kuwa CCM ni ile ile.....sasa sijui hiyo mihemko inatoka wapi ya kufanya magufuli aibadili ccm hii iliyochoka ambayo imemlea na kumpa ukuu huu fake na bajeti wameipitisha ambayo maendeleo ni tirion 5 matumizi ni 17 tirion....
Nawashangaa hii ccm imetoka wapi mpya aliyokuja nayo magufuli na hali wanasema ccm ni ile ile! Itakuwa ile ile ya tumaini jipya,chaguo la Mungu,maisha bora kwa kila mtanzania nk.
Tukichagua hovyo tutalia hovyo na maisha ni yale magumu na michango kede kede ya maendeleo mnasahau kuwa mnachangia maendeleo yenu kupitia kodi. Poleni Watanzania na shetani ccm ila MUNGU yupo nasi atatufungua akili dhidi ya ccm....AMEEN
Nawashangaa hii ccm imetoka wapi mpya aliyokuja nayo magufuli na hali wanasema ccm ni ile ile! Itakuwa ile ile ya tumaini jipya,chaguo la Mungu,maisha bora kwa kila mtanzania nk.
Tukichagua hovyo tutalia hovyo na maisha ni yale magumu na michango kede kede ya maendeleo mnasahau kuwa mnachangia maendeleo yenu kupitia kodi. Poleni Watanzania na shetani ccm ila MUNGU yupo nasi atatufungua akili dhidi ya ccm....AMEEN