mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,642
- 8,416
Mtatiro chunga kauli zako wewe ni kiongozi kwenye jamii. Siasa za kiharakati za vyuoni usizihamishie kwenye hali halisi. Madaktari hawa wana akili zao timamu wametafakari kwa kina juu ya mgomo wao na kugundua kuwa wanaoathirika ni watanzania wenzao hivyo kwa busara wameamua kuomba radhi, tatizo liko wapi hapo?
kwani wanachi wameathirika! wanaathirika! na chini ya magamba wataendelea kuathirika?