chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Mwanachama na mwenyekiti wa muda wa CUF Julius Mtatiro amedai msajili wa vyama alikaa kikao na Magdalena Sakaya na Prof. Lipumba kuhusu ni namna gan ya kuipata ruzuku ya CUF na msajili huyo kumwambia afukuze wakurugenzi na kuweka wakurugenzi wapya kwa kuitisha baraza kuu feki