kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 12,798
- 13,106
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia kwa dhamana mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lissu, kinyume na maombi yaliyowekwa na mawakili wa Jamhuri ya kuzuia asipewe dhamana.
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Wilbard Mashauri amesema, baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu. Hivyo mahakama hiyo imemuachia Lissu kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya Sh.10 milioni, kila mmoja.!
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Wilbard Mashauri amesema, baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu. Hivyo mahakama hiyo imemuachia Lissu kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya Sh.10 milioni, kila mmoja.!