we inavyoonekana hata ukiibiwa mke utabaki unachekacheka2:heh:
View attachment 96520
Wana Arusha wana matusi, yaani makamu wa rais kabisa watu hata kwenye kikombe hawajai
View attachment 96520
Wana Arusha wana matusi, yaani makamu wa rais kabisa watu hata kwenye kikombe hawajai
yani kama kuna mtu alikosea chama
ni huyu mtatiro ni kijana safi
ila amekosea pa kulala pole sana.
Hahahaaaaa naona umekata tamaa na A-town sasa umeamua kuwatukana...watu wa arusha bang imewamaliza.cc lema
CCM hamna chenu mfano mzuri arusha mnapaogopa hata wagombea hamuwanadi hahahaaaaaaaDawa ya cdm inachemshwa na watanzania. Mwanzoni nilijua cdm ni mbadala wa ccm lakini walivyolewa sifa mpaka wanazidi kujiharibia. CCM tuliza akili hawa bavicha hawna Uwezo.
Karibu A TOWN maalim, si unataka Zanzibar yenye mamlaka kamili??? Sasa niini umefuata Atown? Hivi ndivyo tulivyo waulize wanandoa wenzako kina Wasira.View attachment 96520
Wana Arusha wana matusi, yaani makamu wa rais kabisa watu hata kwenye kikombe hawajai
Mkuu....kuna mdau mh. Mohamed Mtoi ametushauri tujadili rasimu ya katiba kwa sasa...tuache yasiyo na tija.....akamuulize kwanza Prof Lipumba kwanini walimsaidia JK 2010 kushinda na walimsaidiaje... ama anapinga hawakumsaidia?