Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za Ijumaa wanaJF
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara Julius Mtatiro atazungumza kuhusu majaaliwa ya chama hicho kwa sasa kutokana na upepo mbaya wa kisiasa unaovuma katika Chama hicho, Lakini kuna ukweli wowote kuwa kuondolewa kwa Mbunge wa Wawi H.R na kundi lake ndio chanzo cha mpasuko Huu?
Upande wa pili wa studio atakuwepo Doyo Hassan Doyo kutoka Kambi iliyoenguliwa ya H.R kwa pamoja wakizungumzia majaaliwa ya CUF
Karibuni katika mjadala tukiangazia nini majaaliwa ya upinzani Nchini kama CUF itameguka mapande mawili?
Je Uhai wa Chama hiki bado upo kama awali?
Ofisi ya Musoma ambayo kwa Kanda ya ziwa ni moja ya kati ya ngome yao kubwa imefungwa, inatoa ishara gani kwa chama hiki?
Pia katika mjadala atashiriki Ansbert Ngurumo.
Karibuni
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara Julius Mtatiro atazungumza kuhusu majaaliwa ya chama hicho kwa sasa kutokana na upepo mbaya wa kisiasa unaovuma katika Chama hicho, Lakini kuna ukweli wowote kuwa kuondolewa kwa Mbunge wa Wawi H.R na kundi lake ndio chanzo cha mpasuko Huu?
Upande wa pili wa studio atakuwepo Doyo Hassan Doyo kutoka Kambi iliyoenguliwa ya H.R kwa pamoja wakizungumzia majaaliwa ya CUF
Karibuni katika mjadala tukiangazia nini majaaliwa ya upinzani Nchini kama CUF itameguka mapande mawili?
Je Uhai wa Chama hiki bado upo kama awali?
Ofisi ya Musoma ambayo kwa Kanda ya ziwa ni moja ya kati ya ngome yao kubwa imefungwa, inatoa ishara gani kwa chama hiki?
Pia katika mjadala atashiriki Ansbert Ngurumo.
Karibuni