Mtatiro aanza 'kufaidi mafanikio' hata kabla ya kujiunga rasmi CCM

Shujaa (hero) ni yule anayesalia baada ya Vita sio yule anayefukiwa!.. Tupac Omar Shakur aliwahi sema "if you kill a nigg help his mama to dig the ditch!." hili hili swali Ryhmes of Magic Attraction (R.O.M.A) aliwahi tuuliza watanzania "Mnataka niwe mbishi, Nani atamlisha mtoto wangu, ni nani atamtimizia mahitaji mke wangu?".
Ni kweli nyumbani kumenoga, lakini nyie wabishi ughaibuni mnajitafakari vipi future zenu huko mlipo!?. Miaka 7 umri wa mtoto kuanza darasa la kwanza je mtaendelea kuwepo? kuchagua kula na kipofu ukimlia timing ni kazi sana!? Mbona wadanganyika ni wasahaulifu, watasahau madhambi yenu muda ukifika!.
Napoleon Bonaparte aliwahi sema " In politics stupidity is not a handicap.".
Kama mmeamua kukaza shingo mkisahau kila vita ina sign and strategies of its own basi mtabaki kuulizana swali gumu "Are you with us or are you against us!?." na naamini mtaelezana kiunafiki majibu yenu mkijua fika everything is priceless and everything has got price tag!.
Nawakumbusha tu CCM NUMBER WANII!!.
Kama hujanielewa usihofu hata mwenyewe sijajielewa nilichoandika. :)
Akili kumkichwa!
 
Katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF Julius Mtatiro alisikika akijivunia mafanikio ya kuhama CUF na kutangaza tu nia yake ya kujiunga na CCM hata kabla ya kujiunga na chama hicho rasmi.

Mafanikio aliyojivunia Mtatiro ni kupigiwa simu na viongozi wa CCM na kupongezwa kwa uamuzi wake huo. Mtatiro amesema kuwa leo hii atawasilisha barua/maombi yake rasmi ya kujiunga na CCM na anatumai kuwa atakubaliwa.

Yajayo yanafurahisha, mko tayari?

Uzoefu unaonyesha Mtanganyika ni Uncivilized, hawa watu hawana utu, kelele za bure kumbe shida yake ni hela na Vyeo, sasa ni dhahiri Watanzania bara huingia katika siasa kwa maslahi binafsi tu, Popote mtanganyika akitaja siasa za maendeleo ni muongo tu.

Bado tuna safari ndefu kisiasa Tanzania hasa Tanzania bara

Wazanzibari ni mfano wa kuigwa kwa siasa za Tanzania.
 
Yule Kitila Mkumbo ukimtembelea kwake ukapiga nae swaga siku ya pili tu unahama chama chako.Yule jamaa ni noma kuliko kiumbe yeyote hapa tz.Huyo Mtatilo alimuona kitila mjinga siku amekutana nae tu ndio huyo mnamuona.

Tanganyika hakuwahi kutokea mpinzani wa kweli Tangia liundwe hilo taifa.Sasa hivi wala hawana shida ya kununuliwa kwa sababu wana uhakika wakirudi tena bungeni.
 
Ile press conference ya Mtatiro ilikuwa ni kama job application tu tena ni kama mtu anaetembea na bahasha ya kaki kuomba kazi
 
Wapinzani wenyewe wanajikanyaga walishindwa kusimamisha mgombea mmoja mpaka mtatiro akakosa jimbo

Kwa kauli yako wewe ni CCM, Sasa unawashauri vip wapinzani?

Si ufarahie kuanguka kwao? Kumbuka hata bibi yako naye anaumia na yanayoendelea.

Zamani mlikuwa mnatuma hela nyumbani saa hiii hakuna.

Mlikuwa mnafanya hafla saa hii hakuna unabaki na lichupi lako la kijani na mharo wa kijani kama umekula mchicha mbichi
 
Usimwamini mwanasiasa aisee maana anaweza akafanya maamuzi mbadala muda wowote kama alivyofanya Mtatiro pamoja na kwamba ni haki yake ya kikatiba. Anaweza akaonyesha msimamo flani kuhusu chama flani alafu ndani ya miezi michache akaenda kulekule alipopaponda. Heri hata wale ambao wanaanza na kuwa kimwili kwenye chama flani huku kiroho yupo chama kingine mwisho wa siku hata akihama huwa wananchi hawajiulizi sana
Unamwongelea Mnyika!
 
Hakuna kitu kibaya kama kufanya jambo kwa kufuata maelekezo hata kama dhamira yako haitaki na sio sahihi. Njaa kitu kibaya sana.
 
Usimwamini mwanasiasa aisee maana anaweza akafanya maamuzi mbadala muda wowote kama alivyofanya Mtatiro pamoja na kwamba ni haki yake ya kikatiba. Anaweza akaonyesha msimamo flani kuhusu chama flani alafu ndani ya miezi michache akaenda kulekule alipopaponda. Heri hata wale ambao wanaanza na kuwa kimwili kwenye chama flani huku kiroho yupo chama kingine mwisho wa siku hata akihama huwa wananchi hawajiulizi sana
Mfano ka mbunge wa ubungo
 
Ni kweli! Hebu kumbuka Bw. Lowassa alivyokuwa akijiapiza kwamba hatahama CCM na kwamba asiyetaka yeye ndiye ahame! Lakini nini kilitokea?Japo sina uhakika kama alihama kwenda kutafuta cheo (uraisi) au alihama kwa moyo wa dhati kwamba CCM ilikuwa haina dira!
Nasubiri kuona tena atakakoelekea na genge lake pale watakaponyimwa kugombea urais 2020!
Usisahau pia jinsi tundu lissu alivokua akimtukana na kumkashifu mh.lowasa but akaja kumlamba miguu agombee urais hahaha hii ndo si hasa
 
Back
Top Bottom