mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,841
- 3,476
bado wewe mkuu
Propesa mbona kitambo tu yuko CCM.
Angejihudhuru huyu hata kama angepata jimboWapinzani wenyewe wanajikanyaga walishindwa kusimamisha mgombea mmoja mpaka mtatiro akakosa jimbo
Walijua angenunuliwaWapinzani wenyewe wanajikanyaga walishindwa kusimamisha mgombea mmoja mpaka mtatiro akakosa jimbo
Ni kweli! Hebu kumbuka Bw. Lowassa alivyokuwa akijiapiza kwamba hatahama CCM na kwamba asiyetaka yeye ndiye ahame! Lakini nini kilitokea?Japo sina uhakika kama alihama kwenda kutafuta cheo (uraisi) au alihama kwa moyo wa dhati kwamba CCM ilikuwa haina dira!Usimwamini mwanasiasa aisee maana anaweza akafanya maamuzi mbadala muda wowote kama alivyofanya Mtatiro pamoja na kwamba ni haki yake ya kikatiba. Anaweza akaonyesha msimamo flani kuhusu chama flani alafu ndani ya miezi michache akaenda kulekule alipopaponda. Heri hata wale ambao wanaanza na kuwa kimwili kwenye chama flani huku kiroho yupo chama kingine mwisho wa siku hata akihama huwa wananchi hawajiulizi sana
Na kurudi upinzani hawawezi Tena...Sipati picha 2020 watakavyo tupiliwa mbali kwenye kura za maoni ndani ya CCM
Very true Mkuu, hiki kilikuwa ni kielelezo kikubwa sana cha ubinafsi miongoni mwao.Wapinzani wenyewe wanajikanyaga walishindwa kusimamisha mgombea mmoja mpaka mtatiro akakosa jimbo
Sio sababu! Wale wa Siha, Ukonga, Kinondoni, mbona wao walipata hayo majimbo na bado wakatimka?Wapinzani wenyewe wanajikanyaga walishindwa kusimamisha mgombea mmoja mpaka mtatiro akakosa jimbo
Aliwahi kushinda wapi? Hata ujumbe wa shina?Jembe hili likitumiwa vizuri,2020 ni kuteleza tu.
Mtatiro ni bingwa wa siasa za kimkakati.Aliwahi kushinda wapi? Hata ujumbe wa shina?
Mkuu, kosa la pili hali-justify kosa la kwanza, kukosea ni kukosea tu. Kutoachiana majimbo ile haikua good move na kumbuka ilitokea sehemu nyingi tu na zote walishindwa ingawa kwa idadi ya kura kama wasingezigawanya mgombea akawa mmoja wangeshinda.Sio sababu! Wale wa Siha, Ukonga, Kinondoni, mbona wao walipata hayo majimbo na bado wakatimka?
Katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF Julius Mtatiro alisikika akijivunia mafanikio ya kuhama CUF na kutangaza tu nia yake ya kujiunga na CCM hata kabla ya kujiunga na chama hicho rasmi.
Mafanikio aliyojivunia Mtatiro ni kupigiwa simu na viongozi wa CCM na kupongezwa kwa uamuzi wake huo. Mtatiro amesema kuwa leo hii atawasilisha barua/maombi yake rasmi ya kujiunga na CCM na anatumai kuwa atakubaliwa.
Yajayo yanafurahisha, mko tayari?
Wapinzani wenyewe wanajikanyaga walishindwa kusimamisha mgombea mmoja mpaka mtatiro akakosa jimbo
Watu wameshasahau kuwa hata Lowassa ambaye chadema walikuwa wanamwita fisadi namba 1, baada ya kuhamia chama hicho wakaanza kumwita mzee wa maamuzi magumu, jembe, na kadhalika. Hivyo siyo kitu cha ajabu alichokuwa anakisema mtatiro juu ya ccm na serikali yake. Hiyo ndo siasa.Usimwamini mwanasiasa aisee maana anaweza akafanya maamuzi mbadala muda wowote kama alivyofanya Mtatiro pamoja na kwamba ni haki yake ya kikatiba. Anaweza akaonyesha msimamo flani kuhusu chama flani alafu ndani ya miezi michache akaenda kulekule alipopaponda. Heri hata wale ambao wanaanza na kuwa kimwili kwenye chama flani huku kiroho yupo chama kingine mwisho wa siku hata akihama huwa wananchi hawajiulizi sana