Nimepanga kukutana na mkuu Wa mkoa Wa ili kumshauri na yeye achangamkie fursa ya kuacha alama ya uongozi km alivyofanya DC Happi kwa kuiita shule jina lake. Huyu DC kamuovertake na amemzidi ubunifu kwa hili, na hata makonda nadhani hakulitarajia hili
itapendeza sana kama kuna shule itaitwaa Makonda primary/secondary school
itapendeza sana kama kuna shule itaitwaa Makonda primary/secondary school