NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Kati ya uchizi wangu na wa Lissu nani anaunafuu japo kidogo?Wewe ni chizi
Kati ya uchizi wangu na wa Lissu nani anaunafuu japo kidogo?Wewe ni chizi
asante kwa ushauri NITAUZINGATIAMshana Jr ukiandika habari za wanga, ulozi, makafara na mambo ya nguvu za kiroho huwa unafiti vizuri sana eneo hilo, lakin mambo ya kisiasa yanakutupa mbali sana mkuu.....unachokifanya unaandika kutokana na mapenzi mazito kwa chama chako ukipendacho (hilo sio tatizo).
Unachofanya ni kujaribu tu kuwalisha watu sumu mbaya kuhusu chama chao ili wakichukie na Rais wao ili wamchukie, jambo ambalo ni gumu kushawishika, ushauri wangu......endelea na uandishi wa masuala uliyo na upeo nayo tu, kuiandika kwa mabaya CCM na mgombea wake ni kupoteza muda bure tu.
Natanguliza samahani kwako mkuu ili nisije kushitakiwa kilingeni nikapigwa kipapai
Naomba tu mkuu nisianze kujadiliwa kilingeniasante kwa ushauri NITAUZINGATIA