Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Gazeti la Mtanzania la leo linalomilikiwa na mmoja wa vinara wa ufisadi ndani ya CCM na anayeshukiwa kuwa yumo kwenye orodha ya kutimuliwa ndani ya chama hicho......................gazeti hilo limedai kauli za hotuba za Nape na Chiligati za kuisafisha CCM huku wakimlenga JK awajibike zinalenga kumkashifu Mwenyekiti na Raisi wa chama hicho.....................................