Mtanzania wa kwanza ndani ya jarida la playboy marekani

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
Pichani juu ni Mtanzania wa kwanza kuwepo katika ukurasa wa mbele wa Jarida maarufu la Playboy la nchini Marekani ambapo amelipwa kitita kikubwa mno. Jarida hilo limewatoa mastaa kibao wakiwemo Madonna, Kim Kardashian, Naomi Campbell, Garcelle, Vanessa Williams na wengineo.
 
Acha kuwafanya watu wajinga hilo magazine halijaaandikwa issue number wala Month...inaitwa photopps amijeweka kwenye cover...watu wanalipwa ma -star kuwa kwenye hio magazine...huyo hata sio model....ondoka zako hapo na pumba zako Hii ndio playboy latest issue
lauren-young.jpg
 
Acha kuwafanya watu wajinga hilo magazine halijaaandikwa issue number wala Month...inaitwa photopps amijeweka kwenye cover...watu wanalipwa ma -star kuwa kwenye hio magazine...huyo hata sio model....ondoka zako hapo na pumba zako Hii ndio playboy latest issue
View attachment 124377

Hahaha mkuu umemwumbua.kaumbukajeeee
 
hahahahahah money stunna umechemka leo, it's so easy to see that was obviously a photoshop.
 
Acha kuwafanya watu wajinga hilo magazine halijaaandikwa issue number wala Month...inaitwa photopps amijeweka kwenye cover...watu wanalipwa ma -star kuwa kwenye hio magazine...huyo hata sio model....ondoka zako hapo na pumba zako Hii ndio playboy latest issue
View attachment 124377


Money stunna siku hizi anatuuzia chai mchana wa jua kali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom