Jamaa alifurahia maziwa,wewe kinachokuuma ni nini?Inashangaza na inasikitisha sana, Mtanzania wa kwanza kuupanda mlima Everest na kufika kileleni kurudi salama alipofika kwao Kilimanjaro wakamzawadia box la maziwa!
Hawa wa Kilimanjaro wakoje jamani?
Source: ITV
Inashangaza na inasikitisha sana, Mtanzania wa kwanza kuupanda mlima Everest na kufika kileleni kurudi salama alipofika kwao Kilimanjaro wakamzawadia box la maziwa!
Hawa wa Kilimanjaro wakoje jamani?
Source: ITV
Kwani wakilimanjaro walimtuma ili akirudi wamzawadie au kwa utashi wake alienda huko. Na je aliposhuka alisema ni wa kilimanjaro au wa Tanzania? Embu tuambie Tanzania imemzawadia nini acha Majungu na chuki binafsi
Hapana si majungu wala chuki binafsi nawasikitikia sana wana Kilimanjaro kutokuona huyu mtoto wao aliejituma na kufika kilele cha dunia kwa nguvu zake. Ningefarijika sana angepatiwa mapokezi yanayostahili na kumuenzi, isitoshe, huyu kashukia kwao Kilimanjaro alistahiki zaidi ya box la maziwa..
Nna uhakika angeshukia kwetu tungemuenzi kwa mapokezi stahiki. Ngoja niongee na wazee wenzangu tumualike huku kwetu, aje tumuenzi.
Unaongea kama huwajui vile.