Mabadiliko Yanakuja
New Member
- Oct 2, 2013
- 4
- 3
Wana JF
Ninatambua sehemu kubwa ya wanachama salio humu ni watanzania.
Niliulizwa swali moja kuhusu nchi yangu Tanzania, kuna jambo gani unaloweza kutoa sifa ya nchi ya Tanzania yako toka uhuru hadi sasa, kuna kipi tunachoweza kijivunia kuwa Mtanzania?
Ninatambua sehemu kubwa ya wanachama salio humu ni watanzania.
Niliulizwa swali moja kuhusu nchi yangu Tanzania, kuna jambo gani unaloweza kutoa sifa ya nchi ya Tanzania yako toka uhuru hadi sasa, kuna kipi tunachoweza kijivunia kuwa Mtanzania?