luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
- Thread starter
- #41
Mnene, mfupi, mwenye T-shirt, mwenye ndevu mnaogopa nini kuwauliza? Nikimaliza konyagi yangu nitawauliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnene, mfupi, mwenye T-shirt, mwenye ndevu mnaogopa nini kuwauliza? Nikimaliza konyagi yangu nitawauliza.
Ni kiwandaHiyo inatofauti gani na garage kama ni simply assembly?
Hapana mkuu, hio body ame- design kareem design kijana wa hapa hapa bongo anaefanya vizuri kwenye game na imetengenezewa hapa hapa bongo mkuu.Design sio yake, ni assembly tu, parts zote zinabuniwa na kutengenezwa nje ya nchi.
Kama vile pikipiki au baiskeli zinatengenezwa nje zinakuja vipande kwenye maboksi na kuunganishwa hapa nchini.
Kuna tofauti mkuu hio body imefanyiwa design hapa hapa na kutengenezewa hapa mkuu.Hiyo inatofauti gani na garage kama ni simply assembly?
Huyu sio yule wa BM coach mkuu, huyu ni mmiliki wa upendo busdah hongera zake, kumbe ndo maana BM coach zikovzr. yaani zinamuacha mbaali sana Abood
Kwa nini mkuu?
Ungiwawie hoo
Amini usiamini mmiliki hayumpo hapoHabarini wakuu
Watanzania wanaendelea kubuni fursa za kiviwanda baada ya mtanzania mwenzetu Blasto Makundi(BM) kumiliki kiwanda Cha kuunganisha mabasi katika eneo la Kibaha mkoani Pwani
Kiwanda hicho kina uwezo wa kuunganisha mabasi makubwa ya kubeba abiria 50 na kuendelea
Makundi pia anamiliki kampuni ya mabasi ya BM Coac
Pichani Ni waziri wa viwanda akiwa kiwandani hapo alipoenda kukitembelea
TUMPE HONGERA
View attachment 1362441
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli sasa nitafatilia hukohuko kiwandani! mara mwenye t shirt , mara mwenye suti mara yule aliembali mara asie na simu ya show off! in JK voice, ya kuambiwa ongeza na zako!!Mwenye suti
Anaunganisha gari za aina gani? Scania, Utong au Isuzu?Habarini wakuu
Watanzania wanaendelea kubuni fursa za kiviwanda baada ya mtanzania mwenzetu Blasto Makundi(BM) kumiliki kiwanda Cha kuunganisha mabasi katika eneo la Kibaha mkoani Pwani
Kiwanda hicho kina uwezo wa kuunganisha mabasi makubwa ya kubeba abiria 50 na kuendelea
Makundi pia anamiliki kampuni ya mabasi ya BM Coac
Pichani Ni waziri wa viwanda akiwa kiwandani hapo alipoenda kukitembelea
TUMPE HONGERA
View attachment 1362441
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa physical location na contact zao
Jamaa kali, mikono juuu.Hapana mkuu, hio body ame- design kareem design kijana wa hapa hapa bongo anaefanya vizuri kwenye game na imetengenezewa hapa hapa bongo mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
akina mangi ndo zao kujishusha kumbukaKwa lugha ya picha lazima atakuwa huyu wa katikati maana amekuwa kama hajiamini hivi na unyenyekevu wa kuweka mikono nyuma.